Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Kumetokea jali ya JET FIGHTER, ilikuwa katika mazoezi ya kawaida, ilipotaka kutua ikashindwa kusimama, rubani na msaidizi wake waka opt kuruka, wote walifanikiwa kuruka na viti vyao lakini mmoja parachute haikufunguka ili aweze ku-land safely, amepoteza maisha.
habari..,
Ndege ya kivita ya jwtz imepata ajali baada ya kushindwa kupata thrust(nguvu ya kuruka) leo hii pale 603 aka airwing.
Ndege hyo ilipangiwa safari ya kwenda ngerengere na ilikua na pilots wawili.., baada ya kushindwa kuruka mapilot waliamua wa-bail out(kuruka kwa miamvuli) mmoja parachute ilifunguka na aliangukia kwenye warehouse,, mwingine lilishindwa kufunguka na aliangukia kwenye lami moja kwa moja.., amefariki on the spot..,
kwa sasa mkuu wa majeshi anaelekea eneo la tukio..,
Nitawapa updates zaidi kadri ntakavyozipata..,
rip makamanda,,
Mungu ibariki tanzania,
Source: Moshe Dayan