kwa kweli, kama hali imefikia hapa? hatujali maisha yetu wenyewe? basi tuna wakati mbaya kabisa kwa maisha ya mwanadamu.
nashindwa kusema Mungu awarehemu.
...Great Thinkers!! Hii Picha Ilipostiwa kwenye Wall ya Member Muda Mrefu wa Wiki tatu zilizopita Kwenye Mtandao Kule 'Uso Kitabu' FaceBook! How can You Say Imetokea Leo Magomeni???:confused2::nono:
...Great Thinkers!! Hii Picha Ilipostiwa kwenye Wall ya Member Muda Mrefu wa Wiki tatu zilizopita Kwenye Mtandao Kule 'Uso Kitabu' FaceBook! How can You Say Imetokea Leo Magomeni???:confused2::nono:
Si wiki tatu, yan nimeiona picha hii zaidi ya mwaka umepita. Sasa mtu anakuja kusema imetokea leo Magomeni!! Bangi nyingine bana...
Hatari na hawa madereva wa boda boda wanachangia uzembe sana. Mungu wape busara ya kuelewa madhara ya uendeshaj mbovu.