Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Ni ajali ya kutisha imetokea sasa hivi kati ya fuso na bajaji,fuso lipo meng'e meng'e dereva na watu wawili wamepoteza maisha,ila bajaji imevunjika taa tu yoo
Ni ajali ya kutisha imetokea sasa hivi kati ya fuso na bajaji,fuso lipo meng'e meng'e dereva na watu wawili wamepoteza maisha,ila bajaji imevunjika taa tu.
mimi nilishaapa sitokuja kuvuta bangi maishani
Ni ajali ya kutisha imetokea sasa hivi kati ya fuso na bajaji,fuso lipo meng'e meng'e dereva na watu wawili wamepoteza maisha,ila bajaji imevunjika taa tu yoo
Na wewe?Inaonekana mvua iliyonyesha jana imekudatisha wewe+ ulivyo haha juu ya paa lenu. I think umeranduka, kunywa azam colla ya baridi may be ukapata usingizi.
mimi nilishaapa sitokuja kuvuta bangi maishani