jamani, napita hapa tegeta kuna ajali mbaya imetokea, inasemekana watu 5 wamepoteza maisha hapo2, lori la mchanga limegonga sehemu ya baa na kuua. Mwenye habari zaidi tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.