Ajali kibao leo cjui vipi: 1. Wami mabasi ya kenya yalikua yanakuja dsm na malaori ya mafuta 2. Hapo kabla hujafika chalinze ukitokea dsm kuna bonge la ajali ya taker la mafuta 3. Kuna basi liliungua moto likienda mtwara jana au juzi 3. Sabeni iliyoua 17 juzi sasa wasema tena kuna nyingine...... Tujisahihishe.........