Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapotokea ajali, a side watcher anaweza tuu tuu kuona miili ikitolewa na sio kuthibitisha uhai!. hata kama unaona immovable body, bado huruhusiwi kuthibitisha kifo!.dah! poleni inamaana wamekufa ama wamejeruhiwa?
Ajali imetokea, shuhuda kaona miili ikiokolewa, hili la vifo limetokea wapi mpaka mnaleta na rip?!. Sometimes wajameni, tuacheni uchuro!.Duh! Watakuwa wamewaaga wake,watoto na waume zao kuwa "tutaonana jioni eeh" rip walio poteza uhai.
Inapotokea ajali, a side watcher anaweza tuu tuu kuona miiliki ikitolewa na sio kuthibitisha uhai!. hata kama unaona immovable body, bado huruhusiwi kuthibitisha kifo!.
Poleni kwa wahanga wa ajali hiyo.
Mtoa taarifa alipaswa asimame japo for few minutes ili atupe more detailed info.
Any way thanks kwa info!.
P.
, nilipata ajali hii , mkono ukapata Brachial plexus injury kwa sasa naendelea na physiotherapy!.Mkuu jana nilikuona kwa mbali ukiwa umefunga mkono! Umeumia AMA shemeji alikupa kichapo?
Ajali imetokea, shuhuda kaona miili ikiokolewa, hili la vifo limetokea wapi mpaka mnaleta na rip?!. Sometimes wajameni, tuacheni uchuro!.
P.
Thanks for update.Mwanajeshi mmoja kafariki papo hapo, dereva wa daladala kakatika miguu, na wanajeshi wengine wamejeruhiwa vibaya.
Sababu ya ajali ni kutanua kwa daladala iliyokuwa ikitokea Kawe na kugongana uso kwa uso na Landrover ya jeshi.
Injini ya Landrover imezama kiasi cha kuvivunja vunja viti vya mbele yaani dereva na abiria wa kushoto yake.
Source: Bonge wa PB
Mlachake, uptade 1st post with thisNimepita maeneo haya asubuhi kuna Dala dala limegongana na Landrover 110 ya Jeshi, Naona miili tu inatolewa kwenye Landrover ya Jeshi.
So hurting.
Mwanajeshi mmoja kafariki papo hapo, dereva wa daladala kakatika miguu, na wanajeshi wengine wamejeruhiwa vibaya.
Sababu ya ajali ni kutanua kwa daladala iliyokuwa ikitokea Kawe na kugongana uso kwa uso na Landrover ya jeshi.
Injini ya Landrover imezama kiasi cha kuvivunja vunja viti vya mbele yaani dereva na abiria wa kushoto yake.
Source: Bonge wa PB
, nilipata ajali hii , mkono ukapata Brachial plexus injury kwa sasa naendelea na physiotherapy!.
Mkuu jana nilikuona kwa mbali ukiwa umefunga mkono! Umeumia AMA shemeji alikupa kichapo?
dah! poleni inamaana wamekufa ama wamejeruhiwa?
Always niko open, nothing to hide!.Pole tena pasco.
Ninefurahi umejibu kwa ujasiri. Inshaallah Mungu atakuponya.