Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Sijui ni kwanini wale polisi kituo cha Bunju walimuacha tu Dr Ulimboka bila kumpeleka haraka hospitali...
Kwenye activity plan /daily order ya siku ile, swala la kumpeleka majeruhi (especially Dr Uli) halikuwemo na kama unavojua kuwa Polisi wetu ni watiifu sana, hawakuwa tayari kukiuka daily order