Ukiacha hiyo ajali iliyotwaa uhai wa wapendwa wetu MUNGU awalaze pema,ilitokea nyingine tena hapohapo iliyohususha malori. Sijui ilitokea muda gani lakini nilipokuwa narejea home saa l usiku ndo malori hayo yanaondolewa hapo. Tangu saa l 00 hakuna gari kupita hadi saa nne ndipo njia ikafunguka hapo darajani lakini mbele barabara ilifungika kwa sababu ya kutanua hivyo kusababisha kila upande kujaa magari ya kutoka upande mmoja. Kimsingi jana ilikuwa ni kupata mateso bila chuki. MUNGU IBARIKI TZ na TZ BILA MATESO INAWEZEKANA????