Hapana ndg yangu! Bus lilopata ajari lilikuwa linaelekea Mwanza nami nilikuwa mbele na basi lingine la kampuni hiyohiyo linaloenda Dar na kwa sasa niko Moro tutatoka asubuhi. Nasikitika sana kwa watu wenye mawazo mgando fikra fupi wanao husisha utoaji wa taarifa hii na maswala ya kiitikadi na imani za kidini. Huu ni umbumbumbu na ujinga wa kukemewa kwa mlalamikaji hajui mtoa taarifa anaamini ktk itikadi gani wala dini gani. Ujinga mtupu!
Naona mmeandika kwa sababu ni Bus la Mwislaam. Lingelikuwa la Mudhungu, mngelikaa kimya.
Wagalatia bana, kaaazi kweli kweli.
Poleni Wafiwa na Majeruhi. Mungu awalaze mahali pema Waliotangulia mbele ya haki.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...etaka-kuwekeza-usd-20-billion-tanzania-5.html
mnafiki kweli wewe huo udini na ujinga utakufikisha pabaya kwani si kafara huu mwezi tunaajua sana count ajali zote uone huu mwezi umetuulia ndugu wengi sana .Naona mmeandika kwa sababu ni Bus la Mwislaam. Lingelikuwa la Mudhungu, mngelikaa kimya.
Wagalatia bana, kaaazi kweli kweli.
Poleni Wafiwa na Majeruhi. Mungu awalaze mahali pema Waliotangulia mbele ya haki.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...etaka-kuwekeza-usd-20-billion-tanzania-5.html
mdau unautia aibu uislam,,,,,hebu acha kutupaka matope wenzio bhana,kuna ajali ngapi za makampuni ya wakristo na huripotiwa,binafsi naona ni vizuri MOHAMED TRANS IKAFUtWA KABISA,NI MOJA YA KAMPUN ZINAZOPATA AJALI MARA KWA MARA,YAAN HATA HILI LA AJALI UNALETA SERA ZA KIDINI???ALLAH AKBAR,
USIJE UKASEMA NA ALIYESABABISHA AJALI ALIKUA ANA LENGO LA KIDIN
mnafiki kweli wewe huo udini na ujinga utakufikisha pabaya kwani si kafara huu mwezi tunaajua sana count ajali zote uone huu mwezi umetuulia ndugu wengi sana .
Katika hali ya kusikitisha leo alfajiri basi la mohammed trans limepata ajari mbaya maeneo ya karibu na mji wa bukoba mda mfupi baada ya kutoka stand kuu. Inasemekana basi hilo liligongana na lory aina ya tiper na kusababisha kifo cha dereva wa lory palepale na majeruhi wengi abiria wa basi hilo.
Haijajulikana ka kuna vifo zaidi kwani inasemekana majeruhi walikuwa wengi na hali zao zilikuwa mbaya. Tafdhari mwenye taarifa za karibuni aendelee kutujuza.
Nawasilisha kwa masikitiko makubwa.
Khaaa! kumbe zomba ni mwalimu wa lugha! Ha ha ha haaaa! Yaan haumuachii tu? mwenzio anaandika anavyotamka. Muelewe tu ALARI = AJALI
Mkuu na wewe umekosea. Aliandika AJARI sio ALARI. Nimecheka na pia mikono ikawasha ili niandike kuwa na wewe umekosea.... Sina baya ila naifurahia JF kwa mambo meeengi. Mengine yanasikitisha, yanafurahisha, yanachekesha, yanatia hasira, yanahuzunisha, n.k... Najua wote mmekosea ku-type tu i hope na mie sijakosea neno lolote maana wataibuka walimu wengine weeengiii kama mie.... teh teh teh.....
Kweli kabisa. Ila umeniacha hoi uliposema 'ameandika anavotamka!', dah bado nacheka.....Umeona eeh? Makosa mengi huwa ni ya uchapaji tu ila watu hung'ang'ania kama vile tuko kwenye mtihani wa lugha.
hukawii kuambiwa ni freemason:eek2:
Tena??
Too much sasa.
Watatumaliza hawa kwa makafara yao!!!
Tunawapa pole wale wote
waliofikwa na matatizo hayo. Tunazidi kuwaombea majeruhi wapone haraka.
Tunawaomba wenye mawazo ya kafara na ushirikina washindwe na walegee.
kwa wale wote waliopoteza maisha, mwenyezi Mungu awalaze mahali pema
peponi. Amen.
kweli kabisa. Ila umeniacha hoi uliposema 'ameandika anavotamka!', dah bado nacheka.....