Katika hali ya kusikitisha leo alfajiri basi la mohammed trans limepata ajari mbaya maeneo ya karibu na mji wa bukoba mda mfupi baada ya kutoka stand kuu. Inasemekana basi hilo liligongana na lory aina ya tiper na kusababisha kifo cha dereva wa lory palepale na majeruhi wengi abiria wa basi hilo.
Haijajulikana ka kuna vifo zaidi kwani inasemekana majeruhi walikuwa wengi na hali zao zilikuwa mbaya. Tafdhari mwenye taarifa za karibuni aendelee kutujuza.
Nawasilisha kwa masikitiko makubwa.
Haijajulikana ka kuna vifo zaidi kwani inasemekana majeruhi walikuwa wengi na hali zao zilikuwa mbaya. Tafdhari mwenye taarifa za karibuni aendelee kutujuza.
Nawasilisha kwa masikitiko makubwa.