Kwa jinsi tukio lilivyo ni magari tu man,lakini pia watu wa usalama barabarani wana challenge ya kujitahidi kupunguza ajali barabarani leo hakuna aliyeumia usitegemee na kesho kutakuwa hakuna aliyeumia,watu hawafuati sheria kwa sababu wanajua tu traffic nitamuhonga nasepa,hasa magari ya serikali ndio usiseme!By the way nimependa sana avatar yako
hiyo image ya movie moja (cartoon) inaitwa ice age (ipo version 1 hadi 3 ) huyo squirrel anaitwa scrat na ktk v3 anakuja kupata kabinti kanaitwa scratte
hiyo image ya movie moja (cartoon) inaitwa ice age (ipo version 1 hadi 3 ) huyo squirrel anaitwa scrat na ktk v3 anakuja kupata kabinti kanaitwa scratte
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.