Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Wakuu nimepata habari leo kuna ajali ya basi la Najimunisa limeua lkn sijui ni wangapi na lilikuwa linaenda wa\pi ila barabara ni ya Dar Mza ila yawezakuwa lilikuwa linaenda Bukoba au kahama...mwenye deteili zaidi jamani nijuzeni......Mungu aweke roho za marehemu pema peponi...amina...