Gari haiwezi kupinduka bila kugonga kitu chochote, hata ingebiduka hewani hewani ingeishia kupiga ardhini, hakuna kitu kinachoweza kupinduka bila kuwa na impact! Excuse me but you are not making any sense!Air bag mara nyingi hu-deploy kama kuna impacts. Kama gari likipinduka bila kugonga kitu chochote basi airbag haitadeploy. Hivyo hili si tatizo la gari wala mfumo wa airbag bali mechanism.
Hujawahi kuendesha gari ndio maana unasema hivyo....Gari haiwezi kupinduka bila kugonga kitu chochote, hata ingebiduka hewani hewani ingeishia kupiga ardhini, hakuna kitu kinachoweza kupinduka bila kuwa na impact! Excuse me but you are not making any sense!
Gari inapopinduka body linagonga ardhi, hiyo tayari ni impact! Gari haiwezi kupinduka bila impact!Hujawahi kuendesha gari ndio maana unasema hivyo....
Gari inaweza kupinduka kwenye corner kali sana na rough driving pasipo kugonga kitu chochote
Hujawahi kuendesha gari ndio maana unasema hivyo....
Gari inaweza kupinduka kwenye corner kali sana na rough driving pasipo kugonga kitu chochote
Msamehe bure huyo layman maana comment yake inadhihirisha wazi kuwa ni maamuma wa magari, japo angejua hata gari ikipata pancha (hasa tairi la mbele) ikiwa katika mwendo mkali linaweza kupinduka! je kuna collision yoyote hapo kabla ya kupinduka?
Msome mshana jr hapo juu,ni lazima iwe iwe impact ya uso kwa uso na siyo impact ya aina yoyote inaweza kufungua airbag.Inawezekana hii gari ilikuwa inatua kwa mgongo na matairi alternatively!Gari haiwezi kupinduka bila kugonga kitu chochote, hata ingebiduka hewani hewani ingeishia kupiga ardhini, hakuna kitu kinachoweza kupinduka bila kuwa na impact! Excuse me but you are not making any sense!
Msome mshana jr hapo juu,ni lazima iwe iwe impact ya uso kwa uso na siyo impact ya aina yoyote inaweza kufungua airbag.Inawezekana hii gari ilikuwa inatua kwa mgongo na matairi alternatively!
zipo rav4 hazina air bag inategemea na mwaka uliotengenezwa hiyo gari
Gari haiwezi kupinduka bila kugonga kitu chochote, hata ingebiduka hewani hewani ingeishia kupiga ardhini, hakuna kitu kinachoweza kupinduka bila kuwa na impact! Excuse me but you are not making any sense!
Hakuwa amefunga seat belt.seatbelt tensioner huwa zinatuma taarifa kwenye mifumo ya usalama ya gari ili kudeploy airbargs hasa likipinduka.la sivyo unaweza kuzIma pia.zikawa hazifanyi kazi
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
..You have said it all KImbweka. Airbag hu-deploy pale tu kunapokuwa na head on collision na si vinginevyo. Nimekuwa nafatila sana vipindi vya Megafactory (NatGeographic Channel) hujitahidi kuonyesha jinsi airbag inaweza kusaidia kupunguza madhara kwa waliomo kwenye gari husika. Na huonyesha jinsi gari inapogonga kitu kigumu kwa mbele ambavyo airbag inatoka na kumkinga abiria. Ajali ya Kilwa road niliona kwenye Tv ile gari ni RAV 4 new model nina imani itakuwa na air bag lakini kwa mazingira ya ajali airbag isige-deploy..Mkuu ni lazima iwe ya on head collision ndiyo airbags zinatoka siyo ma impact ya ubavuni.