MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Nipo maeneo ya vigwaza kuna ajali ya lori la mizigo kuziba barabara kuanzia saa 22:00 hadi hivi sasa saa 4:40 gari hazitembei.
Imesababisha foleni ndefu inayofikia chalinze.
Wanajeshi wa kambi ya ruvu imebidi waongoze foleni.
UPDATES(5:20)
Hali bado ni tete gari kutoka dar na zinazoingia ni foleni kali, mnaojiandaa kusafiri mikoani jiandae kuchelewa kufika.
Imesababisha foleni ndefu inayofikia chalinze.
Wanajeshi wa kambi ya ruvu imebidi waongoze foleni.
UPDATES(5:20)
Hali bado ni tete gari kutoka dar na zinazoingia ni foleni kali, mnaojiandaa kusafiri mikoani jiandae kuchelewa kufika.