MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Wakati Mubarak alipokuwa Madarakani, Polisi (walamba buti) wa Misri walikuwa wako mbele katika kuwanyanyasa raia, kuwasweka lupango, kuwababambikizia kesi na hata kuwafunga bila ya kujua sababu. Hata siku za mwanzo za maandamano walianza kuua hadi pale jeshi lilipoingilia kati. Cha ajabu, kwa kuwa sasa Mubarak ameondoka, nao wameanza maandamano na migomo kudai maslahi bora.
Polisi wetu Tanzania, amkeni na mujifunze kwa wenzenu. Serikali haiwatakii maslahi bora, bali chombo cha kuwakandamiza wananchi wenzenu.
Polisi wetu Tanzania, amkeni na mujifunze kwa wenzenu. Serikali haiwatakii maslahi bora, bali chombo cha kuwakandamiza wananchi wenzenu.