Ole Tetian
Member
- May 30, 2011
- 39
- 9
Ulifaidika wewe na hao mafisadi unaowapongeza.bIG UP CHENGE
Hii Ni HAki DOWANS KULIPWA MAANA WALITOA HUDUMA KWA WATANZANIA
KILA MTU ALINUFAIKA
Ulifaidika wewe na hao mafisadi unaowapongeza.bIG UP CHENGE
Hii Ni HAki DOWANS KULIPWA MAANA WALITOA HUDUMA KWA WATANZANIA
KILA MTU ALINUFAIKA
Awali nilidhani upo humu kutetea CCM na mafisadi kumbe I was wrong. Wewe upo si kwa ajili ya CCM ila kwa ajili ya JK na udini.Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa?
mtakatifu naona leo zamu yako kukasirika... mie juzi karibia nivunje laputopu yangu aisee:biggrin1:wewe na chenge n i wase**
Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa?
kama kashinda yeye kweli mbona hela yenyewe hawampi sasa? Madudu yaliyofanywa na Mkapa, Chenge akiwa mwanasheria mkuu na handsome boy akiwa waziri wa mambo ya nje.
Awali nilidhani upo humu kutetea CCM na mafisadi kumbe I was wrong. Wewe upo si kwa ajili ya CCM ila kwa ajili ya JK na udini.
Hilo nimelinusa. Hata hivyo wenye fikra pevu wanakudharau.
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?[/QUOT
Acha upuuzi wako hatuwezi kukubali ujinga eti kwa vile chenge anajua sheria,yeye ndio alituingiza kwenye hii mikataba ya kinyonyaji kwani by the time alikuwa hajui sheria...unapaswa kujua kuwa chenge sio mzalendo labda kama una personal interest naye..
Ulinyonywa nini kwenye mkataba wa Dowans ambao hujaulipia mpaka umeamriwa na wapatanishi wa kibiashara wa kimataifa (ICC) kuwa ulipe usinyonye haki ya mtu! Hivi huu utumbo mnaoongea mnautoa wapI?
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?
Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa?
Jee kuna sababu yoyote ya maana kwa kutumia huduma ya mtu halafu usimlipe?
Chenge ana hasira na JMK kwa kutokuwa na msimamo tena kwao (KUWATETEA MAPACHA WATATU). Hivyo anataka afe na watanzania, potelea mbali hata chama cha magamba kikichinjilia baharini. Wakuu mnajua jk yuko njia panda hajui afanye nini, anaogopa kuwatosa jamaa zake huku akijikosha kwa wananchi kuwa wanajivua gamba. USICHEZE BWANA NA GAMBA LA UFISADI NI GUMU, CCM HAWAWEZI WADANGANYIKA NDIYO WANAWEZA KUFANYA HIVYO. MAANA HILI NI GAMBA LA KOBE, TO TAKE OFF YOU MEAN YOU ARE KILLING MR TORTOISE.Ndio, jee wewe?? unatoa huduma bure?
Mbunge wa Bariadi pamoja na tuhuma nzito zinazo onyesha negative atitude kwa WATZ kama vile tuhuma dhidi ya rada, kumiliki mabilion ya fedha nje ya nchi, kutia mkono wa kumuondoa spika SITTA aliye pendwa na WATZ wengi kuwa spika wa Bunge Leo napata habari mbaya kwetu kuwa CHENGE amepeleka ushauri mzito wa kisheria ili DOWANS walipwe sh. 94 bil. (source GAZETI LA NIPASHE) CHENGE kama kuna kosa WATZ wamekufanyia basi wasamehe bure !!!! Mbona wao awnakupenda wamekupa ubunge (kama hukuchakachua) kuonyesha wanakupenda tusamehe tu hata kama una mgawo DOWANS
Chenge ana hasira na JMK kwa kutokuwa na msimamo tena kwao (KUWATETEA MAPACHA WATATU). Hivyo anataka afe na watanzania, potelea mbali hata chama cha magamba kikichinjilia baharini. Wakuu mnajua jk yuko njia panda hajui afanye nini, anaogopa kuwatosa jamaa zake huku akijikosha kwa wananchi kuwa wanajivua gamba. USICHEZE BWANA NA GAMBA LA UFISADI NI GUMU, CCM HAWAWEZI WADANGANYIKA NDIYO WANAWEZA KUFANYA HIVYO THRU KURA. MAANA HILI NI GAMBA LA KOBE, TO TAKE IT (GAMBA) OFF YOU MEAN YOU ARE KILLING MR TORTOISE.Chenge ana hasira na JMK kwa kutokuwa na msimamo tena kwao (KUWATETEA MAPACHA WATATU). Hivyo anataka afe na watanzania, potelea mbali hata chama cha magamba kikichinjilia baharini. Wakuu mnajua jk yuko njia panda hajui afanye nini, anaogopa kuwatosa jamaa zake huku akijikosha kwa wananchi kuwa wanajivua gamba. USICHEZE BWANA NA GAMBA LA UFISADI NI GUMU, CCM HAWAWEZI WADANGANYIKA NDIYO WANAWEZA KUFANYA HIVYO. MAANA HILI NI GAMBA LA KOBE, TO TAKE OFF YOU MEAN YOU ARE KILLING MR TORTOISE.