mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Hizi ni akili za mwenye suruali fupi fupi
Kuliko zile za dada zetu na wakina mama wanazotinga nazo ndani ya mijengo ya Makanisa kwa ajili ya kumuomba 'mungu'!
Hizi ni akili za mwenye suruali fupi fupi
Usimumunye maneno fafanua kwa ufasaha.hr
huyo mgombea mwenza wa dk slaa?
Imenishangaza sana Maalim kutopigiwa salute while hata makamu wa pili amepigiwa! Tunaweza kuchukulia ni jambo dogo lakini lina mantiki kubwa sana na ukweli halisi anaujua Maalim mwenyewe!!Watu wanapoambiwa Tanzania ni nchi ya mwisho kwa mambo mengi sana tukubali matokeo, ikiwa hadi ndani ya Karne hii ya 21 bado ndani ya nchi hii muna wanadamu wana mawazo pumbu kama haya!!!! Halafu watu kama hawa ndio eti baada ya miaka fulani wanakuwa Watunga sheria, Mawaziri, Majaji na Wadudu wengine! Daima nitakataa kuitwa Mtanzania. Am proud to be Zanzibari.
Maalim alipewa nafasi kuzibwa baada ya yeye mwenyewe kuonyesha kulainika, lakini anajulikana ni adui wa Taifa, na akipata japo sekunde moja basi history yote ya bara la afrika itabadilika.Ahhaha Makamo wa Kwanza wa Rais wa Serikali Mapinduzi ya Zbar amabe sio mtendaji...ni Ceremonial tu!!!kazi ipo!!!ina maana kama Shein na Makamo 2 hawapo nchi haiwezi bakia kwake??twaomba ufafanuzi hapo!!
Nilikuwa nikiangalia TV sherehe za Mapinduzi.
Wakati wa Kutoka uwanjani, kabla ya kupanda gari kuna makamanda wa jeshi na Polisi, Shein,JK,Bilali walipigiwa Saluti ya heshima.
mara baada ya kuondoka hao, ilkuwa zamu ya Maalim seif, kwa bahati majeshi na polisi waliokuwepo hapo walimpa tu mkono tena baada ya maalim kutoa mkono na hakuna alienyanyua mkono kama Saluti, Makamo wa Pili wa Rais wa ZANZIBAR naye alipigiwa saluti ya nguvu.
jee imekaaje ktk Siasa zetu. jee maalim seif hatakiwi na Vyombo vyetu vya usalama?
Imenishangaza sana Maalim kutopigiwa salute while hata makamu wa pili amepigiwa! Tunaweza kuchukulia ni jambo dogo lakini lina mantiki kubwa sana na ukweli halisi anaujua Maalim mwenyewe!!
Maalim aliingia unyonge, alikuwa hana jinsi. lkn ndio ukubwa mzee
Imenishangaza sana Maalim kutopigiwa salute while hata makamu wa pili amepigiwa! Tunaweza kuchukulia ni jambo dogo lakini lina mantiki kubwa sana na ukweli halisi anaujua Maalim mwenyewe!!
mwalim anajua fika urais atausikia redioni tu, tumemuweka pale kupunguza kelele tu za wafadhili, angalikuwa kam dk slaa hata rwanda hajulikani, tungalimuacha asage rumba
Maalim alipewa nafasi kuzibwa baada ya yeye mwenyewe kuonyesha kulainika, lakini anajulikana ni adui wa Taifa, na akipata japo sekunde moja basi history yote ya bara la afrika itabadilika.
Maalim aliingia unyonge, alikuwa hana jinsi. lkn ndio ukubwa mzee
Haya ndio matatizo ya kukimbia shule na kuishia Madrasa! Suruali fupi fupi akili fupi fupi! endelea kumtajataja Dr Slaa roho yako isuuzike binti!mwalim anajua fika urais atausikia redioni tu, tumemuweka pale kupunguza kelele tu za wafadhili, angalikuwa kam dk slaa hata rwanda hajulikani, tungalimuacha asage rumba
Lakini mkuu Majeshi yanatoa heshima kwa kiongozi na si mtizamo wake! Ni makamu wa Rais yule kiongozi wa pili ki mamlaka Zanzibar!Naona munapiga makelele bora niwasaidie jibu. Jibu halisi ni kwamba; Hayatambui Mapinduzi ya 1964 kwa msimamo sawa na wanavyoyatambua viongozi wa CCM. Kwa maelezo zaidi kitafte kitabu cha Dr. Harith Ghassany "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"! Leo nakusaidia ila siku ya nyengine usilete mada kama hizi.
Yakhe, ndugu zangu wa hapa JF na CHADEMA kwa ujumla nyinyi sio wa mwanzo kujenga chuki dhidi ya Maalim Seif na pia Wazanzibari, wamepita wengi tu zaidi yenu ila wameshindwa!! Mfupa uliomshinda fisi kuula nyinyi munajaribu kutaka kuumeza mzima mzima! Hatari hiyo musije kujaribu. Am proud to be Zanzibari, Zanzibar Daimaaaaaa Mbele.
Naona munapiga makelele bora niwasaidie jibu. Jibu halisi ni kwamba; Hayatambui Mapinduzi ya 1964 kwa msimamo sawa na wanavyoyatambua viongozi wa CCM. Kwa maelezo zaidi kitafte kitabu cha Dr. Harith Ghassany "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"! Leo nakusaidia ila siku ya nyengine usilete mada kama hizi.