Aisha Madinda tena...

Kwanini yeye tu kila mara?Tulishaona picha zek za utupu huko siku za nyuma.Hizi za kwenye gazeti la udaku hazihitaji hata ubishi.Okay,watu wanaweza ku-photoshop sura,lakini vipi sura na sauti vifanane?By the way,tunaambiwa mkanda wa video unamwonyesha Aisha Madinda.Badala ya kumtetea ni vema "mnaompenda" mkampa somo la kuuheshimu mwili wake....na ikiwezekana aachwe kubwia unga.

Mlalahoi,

Mpenzi wa Yanga hata huku upo? Sasa nani huyo anasema Mkanda unasikia sauti yake? Mbona mie nilipokuwa German, niliona Cinema ambayo Eddy Murphy anaongea Kigeruman? na anacheka kwa Kijruman pia. Hii imekaaje?

Anyway, nakubaliana na wewe kuwa kama kuna watu wanampenda na wako naye karibu, ni vizuri wakaanza kumpa somo. Dada mzuri na anakipaji cha kucheza na kupendwa, angelitulia na kujiendeleza kwenye mambo mengine, nisingelishangaa kumuona kwenye Luninga akiwa na Kanumba. Kujifanya kawa nyoka na kuwa mla Unga, nafikiri hataenda mbali na magonjwa ya moyo.
 
Back
Top Bottom