Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Mwanamke Aisha Babu amekuwa akiwa akiwaumiza vichwa viongozi waandamizi wa jeshi la polisi nchini.
Polisi wetu wameshindwa kumdhibiti mwanamke huyo, hivyo basi wameamua kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani.
Taarifa za kiintelijensia zinadai mwanamke huyo anawaogopa wanachama wa CCM, ndio maana hashambulii mikutano inayoandaliwa na viongozi wa juu wa CCM na mikusanyiko inayofanyika Uwanja wa Taifa.
Wito wangu kwa jeshi letu la polisi ni kwamba, Kariakoo kuna watu wengi sana, na kwa usalama wa raia na mali zao, wakatazwe kwenda huko kwani Aisha Babu anaweza kuwadhuru na kusababisha janga la KITAIFA.
Polisi wetu wameshindwa kumdhibiti mwanamke huyo, hivyo basi wameamua kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani.
Taarifa za kiintelijensia zinadai mwanamke huyo anawaogopa wanachama wa CCM, ndio maana hashambulii mikutano inayoandaliwa na viongozi wa juu wa CCM na mikusanyiko inayofanyika Uwanja wa Taifa.
Wito wangu kwa jeshi letu la polisi ni kwamba, Kariakoo kuna watu wengi sana, na kwa usalama wa raia na mali zao, wakatazwe kwenda huko kwani Aisha Babu anaweza kuwadhuru na kusababisha janga la KITAIFA.