Aiseeeee! Cheki mambo ya JK 2010 - 2015

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,348
6,471
Stesheni ya treni ya Tabora
taiwan.jpg



Stesheni ya treni Mwanza
intro.jpg



Nyerere Road railway crossing
shinkansen-bullet-train-japan-2.jpg



Ubungo mataa
pic06.jpg




Tegeta - Ubungo
2005_zurich_tram_cobra.jpg


Source: Google image, 2010.
 
Utopia. Hili linchi haliwezi kamwe kuendelea chini ya mfumo wa utawala wa CCM.
 
Kwa mapato yetu Tanzania na matumizi yake huku asilimia 30 tu ndio tumaweka kwenye miradi ya maendeleo, tutafikia huko baada ya miaka 500. Tafakari
 
Angekuwa na maono sahihi na kusimamia vema raslimali tulizowekewa na Mungu katika nchi yetu mbona haya yanawezekana tu!!! Tatizo yeye amejikita kwenye anasa na ushirikina , hii itabaki kuwa ndoto ya mchana kwake na wabongo wote mpaka CCM iondoke madarakani
 
ndoto ya mchana. kwasasa hivi Algeria wanafanya jambo hili na linawagarimu trillion za kitz kama25 hivi, mara ngapi ya bajeti ya tz hiyo? kikwete anaitaji kupumzika.
 
kwa JK labda viini macho vya yule mtabiri wake wa nyota, atugeuze macho tuone daladala ndio hayo mambo!!!
Mwenyewe aliulizwa kule UINGEREZA kwa nini TANZANIA ni maskini wakati inarasilimali kibao...akajibu, MWENYEWE SIJUI!!!!
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAAAAAAAAAAAAAAAAAA, pOLE KWERE, JK
 
mmmhh! hii ni ndoto . labda kwa wenye kusubiri mpaka kuona basi mpeni nafasi ili hii ndoto izidi kuwa ndoto.
 
Nilipoona tu hizo treni nilijua kuwa hapo itakuwa Ujerumani. Na hiyo treni stesheni (picha ya tatu) ni Berlin na ndo treni steshen kubwa kuliko zote duniani. Ukifika pale utafikiri uko uwanja wa ndege na wame-diverge mto kujenga stesheni hiyo amabyo ilifunguliwa rasmi mwaka 2006 (kama sikosei). Treni zinapita juu na chini we acha kabisa. jamaa wako mbali mno. With Dr. Slaa tutaanza kuelekea huko.
 
Back
Top Bottom