Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Nilishangaa baada ya kusikia makelele usiku wa jana nilipokua narudi nyumbani kutoka kwenye pilika za kutafuta mkate wa kila siku,kelele zile zilikua baina ya jamaa mmoja na dada mmoja wakabishana kuhusu malipo ya yule dada kwani alikuwa ni changudoa,alikua anadai hela zaidi ya aliyopewa.Jamaaakawa anabwabwaja"kwanza wewe umesikia raha kuliko mimi hata hiyo hela nimekupendelea"hapo ndipo nilishangaa hivi ni kweli wanawake wanapata raha kwenye mapenzi kuliko sisi wanaume????