Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Nilianzisha jana thread titled "mke wa mtume" kwenye jukwaa maalumu la dini! hii thread kwa sababu nisizozijua ilifutwa, kwanza nilidanganywa kwani "mark" ilikuwa inaonyeshwa -moved, ukweli ni kuwa hii thread haikuwa moved ilifutwa.
Nikaenda jukwaa la complaints kuhitaji maelezo kwa nini thread imefutwa, naomba maelezo ili nisije rudia kosa, sijajibiwa ndani ya open thread, ILA MTUMISHI( SIJUI NI MOD) AMENIJIBU kwenye PM kuwa nimetumie title ambayo ni 'kufuru' kama hiyo haitoshi, nimerudi kuangalia thread yangu kwenye jukwaa la complaints yenye title "MODS where is my thread'? nayo kwa mshangao imefutwa!
Nimemuuliza Mtumishi( mod) kuwa mnaposema title ya kukufuru mnamaanisha nini? kuna titles kwenye jukwaa la dini nyingi titles kama : "anal sex in islam", "mtume alifanya mapenzi na maiti", Catholic Church Is 'Like The Mafia', Similarities Between Pagan and Christian Practices,Ukristo umejengwa juu ya shetani,Ndoa ya hadija na Muhamad,Marehemu Paulo anawakataza wakrito kutahiriwa !
Hivi hizo title na title yangu "Mke wa mtume" ipi ina kufuru? contents ndani ya thread yangu ni mambo yaleyale tunayojadili miaka nenda na miaka rudi kuwa mtume alioa binti wa miaka 9, it is documented facts, na inaweza kutetewa kuwa ilikuwa ni utamaduni wao!! but what makes thread to be alive ni kupata information mpya!
sasa nauliza nimekosea wapi? thread ilifutwa sikuwa na tatizo nimeuliza vizuri, tu panapohusika, lakini mbona thread inafutwa tena? hata kwenye open thread ambako MODS akijibu atakuwa amewasaidia wengi?
Kama mod ulikosea kwanini usijirudi tukaendeleza libeneke na kufurahia JF kama ni sehemu huru ya kutoa mwazo? unapotufungia wengine na kuleta biased decisions, unataka tuwaze nini?
where are we going?
Najua Mods una nguvu ya kunipa ban, sina tatizo ila nataka baada ya kufuta thread zangu mbili na hii uendelee kuifuta tena na tena, nina post hii thread
1. kila jukwaa
2. kila baada ya masaa matatu
3. Kama unajibu la kuijibu jamii ya wana JF jibia kwenye jukwaa la complaints
Ninapost kila jukwaa kwani sijui ni jukwaa lipi utafuta!!
Usipotoa maelezo ya kuridhisha nitaendela kutuma hii post kila wakati, WHICH EVENTUALLY WILL LEAD TO get BAN, naitaka ban nzuri inayotokana na kudai haki ya kuzungumza kwa uwazi ndani ya jamiiforums.
I repeat getting ban kwa sababu ya makosa na msimamo wa mod fulani, kwangu itanipa faraja kubwa zaidi, we have been crying over CCM regime, na naona inataka kutokea ndani ya JF.Ban itanisaidi kuijua zaidi JF, na I will be proud to sign out kwa sababu tu nimenyimwa haki yangu ya msingi.
Note sitaki siasa, aidha nioate ban, au mod akubali alikosea, au kuwe na maelezo ya ziada na conviced kuwa kwa nini mpaka thread ya pili kuhitaji maelezo nayo imefutwa!
politics is not an option here!
Confused
WABEROYA!
Nikaenda jukwaa la complaints kuhitaji maelezo kwa nini thread imefutwa, naomba maelezo ili nisije rudia kosa, sijajibiwa ndani ya open thread, ILA MTUMISHI( SIJUI NI MOD) AMENIJIBU kwenye PM kuwa nimetumie title ambayo ni 'kufuru' kama hiyo haitoshi, nimerudi kuangalia thread yangu kwenye jukwaa la complaints yenye title "MODS where is my thread'? nayo kwa mshangao imefutwa!
Nimemuuliza Mtumishi( mod) kuwa mnaposema title ya kukufuru mnamaanisha nini? kuna titles kwenye jukwaa la dini nyingi titles kama : "anal sex in islam", "mtume alifanya mapenzi na maiti", Catholic Church Is 'Like The Mafia', Similarities Between Pagan and Christian Practices,Ukristo umejengwa juu ya shetani,Ndoa ya hadija na Muhamad,Marehemu Paulo anawakataza wakrito kutahiriwa !
Hivi hizo title na title yangu "Mke wa mtume" ipi ina kufuru? contents ndani ya thread yangu ni mambo yaleyale tunayojadili miaka nenda na miaka rudi kuwa mtume alioa binti wa miaka 9, it is documented facts, na inaweza kutetewa kuwa ilikuwa ni utamaduni wao!! but what makes thread to be alive ni kupata information mpya!
sasa nauliza nimekosea wapi? thread ilifutwa sikuwa na tatizo nimeuliza vizuri, tu panapohusika, lakini mbona thread inafutwa tena? hata kwenye open thread ambako MODS akijibu atakuwa amewasaidia wengi?
Kama mod ulikosea kwanini usijirudi tukaendeleza libeneke na kufurahia JF kama ni sehemu huru ya kutoa mwazo? unapotufungia wengine na kuleta biased decisions, unataka tuwaze nini?
where are we going?
Najua Mods una nguvu ya kunipa ban, sina tatizo ila nataka baada ya kufuta thread zangu mbili na hii uendelee kuifuta tena na tena, nina post hii thread
1. kila jukwaa
2. kila baada ya masaa matatu
3. Kama unajibu la kuijibu jamii ya wana JF jibia kwenye jukwaa la complaints
Ninapost kila jukwaa kwani sijui ni jukwaa lipi utafuta!!
Usipotoa maelezo ya kuridhisha nitaendela kutuma hii post kila wakati, WHICH EVENTUALLY WILL LEAD TO get BAN, naitaka ban nzuri inayotokana na kudai haki ya kuzungumza kwa uwazi ndani ya jamiiforums.
I repeat getting ban kwa sababu ya makosa na msimamo wa mod fulani, kwangu itanipa faraja kubwa zaidi, we have been crying over CCM regime, na naona inataka kutokea ndani ya JF.Ban itanisaidi kuijua zaidi JF, na I will be proud to sign out kwa sababu tu nimenyimwa haki yangu ya msingi.
Note sitaki siasa, aidha nioate ban, au mod akubali alikosea, au kuwe na maelezo ya ziada na conviced kuwa kwa nini mpaka thread ya pili kuhitaji maelezo nayo imefutwa!
politics is not an option here!
Confused
WABEROYA!