muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,510
- 3,477
Aisee Diamond mbona sasa unaanza kubong'oa!
Staili zingine za shoo huwaga zinatisha.
Upumbavu kabisa, maadili gani hayo, baadaye uje utangaze kugombea ubunge? Mkiambiwa wasanii wa bongo shule yenu ndogo pamoja na upeo wenu wakufikiri ni mfinyu mnakataa! Haya endeleeni!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums