Aisee Diamond mbona sasa unaanza kunabong'oa?

dddd.jpg

25.jpg


Nawasiwasi na huyu Dogo pamoja na huyu demu wake, nahisi wanatangaza biashara mbadala sio bure!
 
Pia ajafikia amaarufu wa saida kalori.sasa yuko wapi.
Wapo wasanini wengi wamevuma na sasa wako wapi
 
Bora hata Afande Sele hakugeuka nyuma wala kubong'oa...narudia swali lililoulizwa hapo juu...hii style ili iweje? anajaribu kutuambia nini?
labda ana maanisha unaweza kumpata kwa tigo!!ha ha ha,just for funny brother Riwa
 
Last edited by a moderator:
maumivu yakizidi muone daktari!halafu mnataka tuisahau sambulumaaa na tukunyema,i see mfanye kazi sana!
ha ha ha ha!miaka ya tukunyema imeshapita lkn!!wakati huo dunia ilikuwa dunia si hii ya leo!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom