rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
nunua modem ya zantel iko fast na cheap 1gb sh 15000
Mkuu nyumbani kwangu tunatumia Zantel wanakula hela kama hawana akili nzuri huku hamna cha maana ulichofanya. Hasa pale unapo-upload files ni balaa tupu, unajikuta pesa inaisha na file halijawa-uploaded mpaka nilishaanza kufikiria kuchukua hiyo ya Airtel kumbe nako mambo si shwari, lol!