Sugar wa Ukweli
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 373
- 37
kuna hii kitu inaitwa Sema na Airtel inakuwezesha kutuma sms free kwa mteja wa Airtel aliyejiunga kwenye hiyo service (yes ni 0Tsh/SMS)KujiungaKujiunga unatuma sms neno Jiunge unaacha nafac unaandika jina unalotaka kutumia halafu unatuma kwenda namba 2011.ikiwa successful utapata SMS ya kuthibitishwa kujiunga. Kwa hiyo kama mimi ndo najiunga naandika sms JIUNGE SAMMY then natuma kwenda 2011.... Namna ya kutumiaKutumia sharti huyo unayechat nae nae awe amejiunga, unaandika sms kwa kuanza na jina lake analotumia unaacha nafasi unaandika maneno yako then unatuma kwenda 2011. Kwa mfano kama INVISIBLE kajiunga so nita sms INVISIBLE habari yako? then natuma kwenda 2011.yeye INVISIBLE ataona tu Maneno habari yako? na kuendelea. Kwa kweli haka ka huduma ni kazuri sana maana vocha yenyewe mtihani