kure11
Senior Member
- Apr 10, 2011
- 110
- 26
Hakuna utata..mbona before walikuwa na rangi ya blue so as tigo...nafikiri watakuwa wameingia mkataba na vodafone.
vodacom inatokea S.Africa na vodacom S.A imeingia ubia na Vodafone Uk na na vodafone uk ndo wana share kubwa so vodacom imelazimika kubadili rangi. So mi naona hawajaiga rangi!!!