AIRTEL->TiGO rahisi kuliko AIRTEL->AIRTEL!

Given Edward

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
850
202
Wakuu nimegundua hichi kitu:
Ukipiga simu kutoka airtel kwenda airtel ni expensive sana tofauti na ukipiga airtel kwenda tigo. I know it sounds crazy lakini jaribu utaona.
I can't recall the exact call duration but the expenses were definitely as i've said.
 
Ulipojaribu ulipata figures gani? Kwanini tujaribu wakati wewe ulishajaribu?

Hebu upgrade posti yako iwe kamilifu zaidi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom