Bora. Asante sana airtel. Post za kijinga zitapungua humu jamvini
We ni mtanzania?
[h=2]Airtel ya kjanga! Is better nihamia Zantel or Ttcl! Airtel nitaitumbukiza chooni today!
Joking is not the part of my life in serious issues and if i want to enjoy i can enjoy with coca cola.Matola are you serious or you are just joking/enjoying us?
Bundle ya shillingi 2500 na bado unataka kujiunga na pesa pungufu!!?? hapa nashindwa kukuelewa, huo ujumbe unahusiana vipi na kuwepo hiyo huduma!! hapa anatakiwa shuhuda wa kusema mimi leo nimericharge shilling 2500 na nikapata mb 400. huyu ndio shuhuda anayehitajika hapa na sio hizo msg zako.Jamani Imerudishwa ile Bundle ya 400MB kwa 2500. Nimetuma 'Internet' kwenda 15444 sasa hivi line yangu ilikuwa na pesa pungufu imeniletea ujumbe huu "Ndugu mteja, huna salio la kutosha kuunganishwa na INTERNET. Yafadhali Ongeza salio na ujaribu tena"
mi nshajaribu kupiga hiyo no mara kibao lakini haijawahi kupokelewa,ila si ndo hii kampuni inawalipa customer care wake kilo moja na nusu,labda wamegoma kupokea simu zetu