Airtel Tanzania yapandisha gharama za internet!

Status
Not open for further replies.
Poleni wapendwa...huduma iyo haijasitishwa bado ipo na itazid kuwepo...leo asubuh kumekuwa na tatizo la netwk kwa baadhi ya mikoa apa nchini poleni sana kwa usumbufu uliojitokeza!
Siwezi kukubaliana hoja yako, kama mtandao ulikuwa unasumbua kwanini wasiseme moja kwa moja kuwa kuna matatizo ya mtandao badala yake wanatoa hizo options za 10MB, 25MB..............???,

hata mimi siku wiki iliyopita nilitumiwa ujumbe kuwa hiyo itasitishwa kwa bahati nzuri nilikuwa bado nina 289MB ambazo ndo najikongoja nazo baada ya hapo nitaangalia utaratibu mwingine.
 
poleni wapendwa...huduma iyo haijasitishwa bado ipo na itazid kuwepo...leo asubuh kumekuwa na tatizo la netwk kwa baadhi ya mikoa apa nchini poleni sana kwa usumbufu uliojitokeza!

asante kama unamaanisha
 
Kama naanza kunusa harufu ya ukweli wa habari hii, maana nimeangalia salio langu sasa hivi hata ile style yao ya kuone salio wamebadilisha. ona inavyoandika.
Name:
Number: 15444
Content:
Ndugu Mteja Salio lako ni: 1. BUNDLE : 267MB
Time: 01/03/2012 12:07:12

hehehe! Matola sasa tushike lipi?hawa wanaokuja humu kama wasemaji wa airtel tuwaamini au tuendelee kuskilizia!
 
hehehe! Matola sasa tushike lipi?hawa wanaokuja humu kama wasemaji wa airtel tuwaamini au tuendelee kuskilizia!
Kesho nina maswala yangu pale American Embassy, nitatumia fursa hiyo kupitia kwenye ofisi zao kupata ufafanuzi in personal, maana hawa jamaa ukipiga ile namba yao ya customer care utasikilizishwa muziki mpaka masikio yakuume.
 
[h=3]MOBILE BROADBAND[/h]To address issues around affordability and simplicity of our Broadband offers we have introduced the new value proposition in the market to respond to these two important customer insights.
Our Airtel Pay As You Go is now only 150/= per MB.
PREPAID BUNDLES
BUNDLE
SUBSCRIPTION
FEE
VALIDITY
Daily Bundle (20MB)
SMS ' datasiku ' to 15444
500/=​
1 day​
1 Day bundle (300MB)
SMS ' dataplus ' to 15444
3,000/=​
1 day​
Weekly bundle (3GB)
SMS ' datawiki ' to 15444
15,000/=​
7 days​
Monthly bundle (8GB)
SMS ' full data ' to 15444
70,000/=​
30 days​
Quarterly Bundle (24GB)
SMS ' data90 ' to 15444
200,000/=​
90 days​
Yearly Bundle (96GB)
SMS ' data365 ' to 15444
750,000/=​
365 days​
Handset Browsing Bundle(400 MB)
SMS ‘internet ' to 15444
2,500/=​
30 days​
To check your Bundle Balance simply SMS the word ‘SALIO' or ‘BALANCE' TO 15444.
POSTPAID BUNDLES
For POSTPAID, you will have to contact Postpaid hotline (101) for details or you will have to send official, letter for your desired bundle activation request.
BUNDLE
FEE
VALIDITY
Monthly bundle( 8GB)
70,000/=​
30 days​
Quarterly Bundle( 24GB)
200,000/=​
90 days​
Yearly Bundle( 96GB)
750,000/=​
365 days​
Handset Browsing Bundle( 400 MB)
2,500/=​
30 days​
*All prices are VAT Inclusive

[h=3]Wakuu,hii chart nimeitoa kwenye website yao.ukisoma vizuri kwenye hiyo 400MB/TSH 2,500 utaona kuwa inaangukia kwenye category ya HANDSET BROWSING that's why ukitaka kununua lazima uweke kwenye simu kwanza ununue then uirudishe chip kwenye modem(nakumbuka hii issue ilishwahi kujadiliwa kule jukwaa la TEHAMA).So may be jamaa wanahangaika namna ya kuzuia watu kutumia hii bundle kama mbadala wa bundles nyingine which are actualy pricey and meant for PCs.Hata kama itarudi kwenye hali ya kawaida soon tujiandae in the near future kuikosa huduma hii na kuendelea kuongezewa living expenses.Kweli ubepari ni unyama!![/h]
 
Nahisi wewe ni kampuni ya simu either Tigo au Voda sasa unataka kuwaharibia Airtel ... na si vinginevo ! mbona mimi leo nimeupload picha zangu kwa kutumia huo mtandao! acheni kuwaharibia wenzenu nyie !
 
Nahisi wewe ni kampuni ya simu either Tigo au Voda sasa unataka kuwaharibia Airtel ... na si vinginevo ! mbona mimi leo nimeupload picha zangu kwa kutumia huo mtandao! acheni kuwaharibia wenzenu nyie !
Na wewe mbona akili yako maandazi!! ni nani hapa aliekwambia kwamba Internet ya Airtel haipatikani? hapa tunajadili huduma hii ya 400 mb kwa shilling 2500 kama itaendelea kuwepo au ndio inafikia kikomo?
 
Nina Blackberry latest vision, nilipokwenda Voda kuwauliza ni kwa nini haiconnect Internet wakanijibu mpaka niwe na BB subscription ambayo gharama yake ni shilling 30,000 kwa mwezi, nikawasihi kwamba hii sio Blackberry yangu ya kwanza kutumia bali ni ya nne nazote hizo nilikuwa nalipia pay as you go, wakaniambia eti sasa hivi mpaka uingizwe kwenye Blackberry server yao na hakuna jinsi ni lazima nilipie 30,000. nimekataa siwezi kujiingiza gharama ambazo ni unneccessary, ni kwa nini laptop yangu nitumie gharama nafuu halafu smartphone ndio inigharimu?

Sasa basi kama hawa Airtel nao watakuwa wameingia kwenye upuuzi wa kusitisha huduma hii rafiki hakuna chaguo lingine zaidi ya ku boycot mtandao wao for good. Watanzania tusikubali kugeuzwa makondoo na mkumbuke zamani tulikuwa tunalipia airtime kwa dolar, ikaja tukawa tunachajiwa kwa dakika na hatimaye sasa tunachajiwa kwa sekunde, pls kama hili swala ni kweli tutaanzisha special thread hapa na kukusanya chip zao tuwarudishie na uzuri media tunazo humuhumu.
safi sana mi kwa hasira nawapa hadi simu yangu khaaaaaaa,na hao staarrr tim.ezz wajiandae ipo siku watakupa ving'amuzi vyao pale sayansi sijui,
 
Kesho nina maswala yangu pale American Embassy, nitatumia fursa hiyo kupitia kwenye ofisi zao kupata ufafanuzi in personal, maana hawa jamaa ukipiga ile namba yao ya customer care utasikilizishwa muziki mpaka masikio yakuume.

tehe, kesho ntashuka pale ubalozi ili nikuone. Natamani kumuona walu member mmoja humu. :lol:
 
toba nimekwisha muda wa kujidai na na mtandao kwisha, au kuna mkono wa CCM na CUF, wanaona wanadhani tunatumia muda mwingi kusaf na kuchati
 
aaahhhh ndugu yangu pole sana. Wape muda watakusaidia tu. hawataki kukupoteza
 
k
ama kweli hii mbaya sana watu tulikua tunajisahau kabisa kwamba kuna kulipia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom