DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Pamoja na kupandisha gharama za Internet ambazo ni kubwa sana kuliko uwezo wa mwananchi wa kawaida kwa vigezo ambavyo haviko wazi. Jana masikini mie nimejikamua jana nikaweka kifurushi cha 1GB nilichokifanya ni kujibu emails kama 6 hivi pamoja na kuchat na mwenza wangu ambaye yupo nje ya nchi kwa takriban masaa mawili tu, leo asubuhi nacheki imebaki 271MB tu. Jamani huu kama sio wizi nini!!! Chondechonde Airtel hizi hela tunapata kwa shida sana, Wizi wa namna hii kwakweli mnastahili kuchomwa moto!!.
Hivi hilo tangazo hapo juu hakuna uwezekano wa kulitoa, maana limeshaanza kunitia kichefuchefu.
Hivi hilo tangazo hapo juu hakuna uwezekano wa kulitoa, maana limeshaanza kunitia kichefuchefu.