Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Naleta hii hoja kwenu, kwani tokea kampuni hii mya ya simu kuendeleza biasha ya Zantel ndio wametuchanganya zaidi kwanini nasema haya:
1: Wana offer yao ya bonyeza SMS 5 ili upate 100 SMS za bure na huku tena wameruhusu tena offer ya Jiachie (15353) ambazo ni sawa na hapo tofauti ni makato ya pesa kutokana na hizo SMS.na SMS mmoja ni Tsh 59.
2: Mtu ukimpigia simu kwenda Mtandao wowote na ukimaliza kuongea huja ujumbe kukueleza kuwa umetumia shilling kiasi fulani kwa muda ulio ongea sasa cha kushangaza mtu akikupigia simu toka kutoka mitatandao yote pia ati ujumbe huwa unakuja na unakuambia ati umetumia kiasi cha shilling fulani kuongea sasa najiuliza mimi nimepigiwa na mtu awe ni airtel au voda,togo still huo ujumbe waja kwanini inamaana inanikata pesa yangu???
Twaomba hili shirika la AIRTEL kujirekebisha kwa hayo mapungufu yao ZANTEL hakukua na hayo matatizo na hatukuona haja ya AIRTEL kubadilisha huo mfumo ni bali walitakiwa kuboresha na kuongeza offer kama wanuwezo na sio kutuonyesha utaaramu uliopinda pinda na kutuchukulia pesa zetu
Naleta hii hoja kwenu, kwani tokea kampuni hii mya ya simu kuendeleza biasha ya Zantel ndio wametuchanganya zaidi kwanini nasema haya:
1: Wana offer yao ya bonyeza SMS 5 ili upate 100 SMS za bure na huku tena wameruhusu tena offer ya Jiachie (15353) ambazo ni sawa na hapo tofauti ni makato ya pesa kutokana na hizo SMS.na SMS mmoja ni Tsh 59.
2: Mtu ukimpigia simu kwenda Mtandao wowote na ukimaliza kuongea huja ujumbe kukueleza kuwa umetumia shilling kiasi fulani kwa muda ulio ongea sasa cha kushangaza mtu akikupigia simu toka kutoka mitatandao yote pia ati ujumbe huwa unakuja na unakuambia ati umetumia kiasi cha shilling fulani kuongea sasa najiuliza mimi nimepigiwa na mtu awe ni airtel au voda,togo still huo ujumbe waja kwanini inamaana inanikata pesa yangu???
Twaomba hili shirika la AIRTEL kujirekebisha kwa hayo mapungufu yao ZANTEL hakukua na hayo matatizo na hatukuona haja ya AIRTEL kubadilisha huo mfumo ni bali walitakiwa kuboresha na kuongeza offer kama wanuwezo na sio kutuonyesha utaaramu uliopinda pinda na kutuchukulia pesa zetu