Airtel msidanganye watanzania TUTAWASHTAKI

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Haya matangazo Likuki ya Aitel Money kiladakika kwa kila radio eti ni free service...kwa nini wasiwe wazi kuwa ni from 01-99,000/=???? ukituma zaidi ya hapo ukikatwa unastahili kuwashtaki na kuwadai mabilioni kwa kuwahadaa wananchi..competitors hamlioni hili? Na tume ya fair competition inasemaje kwa matangazo kama haya
 
Wanakera na vitangazo vyao full cheating yaani very janjafully enough
wanatumia uzoba wa watanzania(ignorance) kuvutia biashara

hata hiyo chini ya sh 99,000/= ni kwa mdaa tu nao wataanza kukata hakuna biashara isiyohitaji faida Matagazo yao yanakera kwelikweli kuna haja yakuwashitaki pia kwa makato wanayo fanya juu ya laki moja.
 
Halafu haya mambo ya bure ni ya muda mfupi tu,wataanza kukata,maana hawafanyi biashara yoyote kwakweli.
 
Haya matangazo Likuki ya Aitel Money kiladakika kwa kila radio eti ni free service...kwa nini wasiwe wazi kuwa ni from 01-99,000/=???? ukituma zaidi ya hapo ukikatwa unastahili kuwashtaki na kuwadai mabilioni kwa kuwahadaa wananchi..competitors hamlioni hili? Na tume ya fair competition inasemaje kwa matangazo kama haya

nikituma 99,500 wanacharge shilingi ngapi?
 
Asante kwa kunipa jibu. Daily nilikuwa najiuliza hawa Jamaa wananufaika vipi kwa kutoa hii huduma Bure? Kumbe wanakataaaaaaaa???
 
Hiyo ndo akili ya biashara,wako sahihi kwani washakwambia masharti na vigezo kuzingatiwa.sasa ungeuliza ili ujue hayo masharti na vigezo ni vipi?wala usingepost hii topic
 
Hiyo ndo akili ya biashara,wako sahihi kwani washakwambia masharti na vigezo kuzingatiwa.sasa ungeuliza ili ujue hayo masharti na vigezo ni vipi?wala usingepost hii topic
Nadhani sio strategy nzuri kwa biashara kwa sababu inapunguza sana "credibility". Nakumbuka hata lile tangazo lao la modem na free data kwa miezi sita nalo halikuwa sahihi hasa.
 
Back
Top Bottom