Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
MAJUZI NIMENUNUA AIRTEL MODEM NIKALIPA NA BUNDLE YA MWEZI MMOJA CHA KUSHANGAZA SIJAWEZA KUKU CONNECT MPAKA LEO NI KAMA SIKU SABA-7 SASA NILIKWENDA KWA WAKALA NILIPONUNUA NAYE AMEJARIBU AMESHINDWA , ANASEMA MTANDAO MBAYA !!! NIKASHANGAA MTANDAO WEEK NZIMA ? NIMEJARIBU KUWAPIGIA CUSTOMER SERVICE HAWAPOKEI SIMU KABISAAA..YAANI NI THIRD CLASS KABISA I CALL THEM MORE THAN 50 TIMES NO BODY CARES...
NIKAAMUA KUWANDIKIA HELP DESL YAO , NIKATUMA EMAIL KWENDA helpdesk@tz.airtel.com ..CHA KUSHANGAZA EMAIL YANGU HAIJAWEZA KUWAFIKA ...SABABU NI KWAMBA HII EMAIL NI FAKE WANATUDANGANYA SISI CUSTOMERS KWAMBA KUNA CUSTOMER SERVICES TU LAKINI HAKUNA KITU KAMA HICHO..KWA UFUPI HII EMAIL NI DANGANYA TOTO JAPO IPO KATIKA MTANDAO WAO NA VIPEPERUSHI VYAO..HAKUNA ANAE SOMA EMAILS ZA WATEJA KUTAKA MSAADA..MAILBOX YAO IMEJAA NA INALETA MESSAGE " The recipient's mailbox is full and can't accept messages now"
HII NI KWASABABU HELPDESK HAWASOMI HIZO EMAIL WALA KUJALI WATEJA WAO WANASEMA NINI.
PIA EMAIL ZIFUATAZO AMBAZO ZINAHUSIANA NA "CUSTOMER SERVICES" PIA ZIMEJAA NA HUWEZI KUWAPATA AIRTEL KWANI NOBODY ANASOMA EMAIL ZA WATEJA....MPAKA MAILBOX ZAO NINAJAA..
Delivery has failed to these recipients or distribution lists:
Anthony.Gaudence@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Catherine.Kavishe@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Yohana.Mayeye@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Henrick.Botto@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Remedy.CustomerSupport@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Jombo.Mkono@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
UKWELI AIRTEL WAMETUMIA FEDHA NYINGI KUTANGAZA HUDUMA ZAO AMBAZO NI SAWA NA ZIRO..KILA MAHALA KUNA AIRTEL FREE SLOGAN, KUMBE NI NJIA YA KUTURUBUNI KUNUNUA HUDUMA AMBAZO HAZIPATIKANI , HUU NDIO UKWELI KWANI HAYA MATANGAZO YAO YAMEKUA NA USHAWISHI MKUBWA LAKINI IN REALITY NAWEZA KUSEMA NI UTAPELI NA WIZI WA MCHANA KWEUPE.
MODEM YAO NYEKUNDU IMEKAA KAMA PAMBO NA NILIKWENDA KURUDISHA KWA WAKALA WAO AMEKATAA KUREJESHA FEDHA YANGU LABDA SASA NIENDE KUPELEKA MALALAMIKO KWA FAIR TRADE COMMISSION AU TCRA.
LAKINI HAKIMU MZURI NI WATUMIAJI KUGOMEA MODEM ZAO KWANI HATA HUKO RUSHWA IMEJAA SIDHANI KAMA HAKI ITAPATIKANA
NIKAAMUA KUWANDIKIA HELP DESL YAO , NIKATUMA EMAIL KWENDA helpdesk@tz.airtel.com ..CHA KUSHANGAZA EMAIL YANGU HAIJAWEZA KUWAFIKA ...SABABU NI KWAMBA HII EMAIL NI FAKE WANATUDANGANYA SISI CUSTOMERS KWAMBA KUNA CUSTOMER SERVICES TU LAKINI HAKUNA KITU KAMA HICHO..KWA UFUPI HII EMAIL NI DANGANYA TOTO JAPO IPO KATIKA MTANDAO WAO NA VIPEPERUSHI VYAO..HAKUNA ANAE SOMA EMAILS ZA WATEJA KUTAKA MSAADA..MAILBOX YAO IMEJAA NA INALETA MESSAGE " The recipient's mailbox is full and can't accept messages now"
HII NI KWASABABU HELPDESK HAWASOMI HIZO EMAIL WALA KUJALI WATEJA WAO WANASEMA NINI.
PIA EMAIL ZIFUATAZO AMBAZO ZINAHUSIANA NA "CUSTOMER SERVICES" PIA ZIMEJAA NA HUWEZI KUWAPATA AIRTEL KWANI NOBODY ANASOMA EMAIL ZA WATEJA....MPAKA MAILBOX ZAO NINAJAA..
Delivery has failed to these recipients or distribution lists:
Anthony.Gaudence@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Catherine.Kavishe@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Yohana.Mayeye@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Henrick.Botto@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Remedy.CustomerSupport@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
Jombo.Mkono@tz.airtel.com
The recipient's mailbox is full and can't accept messages now. Microsoft Exchange will not try to redeliver this message for you. Please try resending this message later, or contact the recipient directly.
MODEM YAO NYEKUNDU IMEKAA KAMA PAMBO NA NILIKWENDA KURUDISHA KWA WAKALA WAO AMEKATAA KUREJESHA FEDHA YANGU LABDA SASA NIENDE KUPELEKA MALALAMIKO KWA FAIR TRADE COMMISSION AU TCRA.
LAKINI HAKIMU MZURI NI WATUMIAJI KUGOMEA MODEM ZAO KWANI HATA HUKO RUSHWA IMEJAA SIDHANI KAMA HAKI ITAPATIKANA