Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 846
- 432
Mimi nakerwa mno na mtandao wa airtel kutuma message ya hongera kwa wateja na kwamba wamezawadiwa muda wa maongezi kumbe ni UONGO!
Kuna siku walinitumia sms kuwa wamenizawadia elfu kumi na tano 15,000 kumbe ni uongo tu!
Kwanini wanatuma sms za uongo sasa?
Sijui na ninyi wanajamvi wenzangu mnapatwa na adha hii?
Mi ninakerwa sana na tabia hii ya Airtel!
Kuna siku walinitumia sms kuwa wamenizawadia elfu kumi na tano 15,000 kumbe ni uongo tu!
Kwanini wanatuma sms za uongo sasa?
Sijui na ninyi wanajamvi wenzangu mnapatwa na adha hii?
Mi ninakerwa sana na tabia hii ya Airtel!