Godwin Mneng'ene
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 215
- 84
Nimesikitishwa na kitendo cha kampuni ya Airtel kupandisha gharama ya bundle kwa viwango vya kuruka kama ifuatavyo;
Receive:
Chagua Kifurushi cha
1. 25mb (Tsh. 1500)
2. 150mb (Tsh. 6000)
3. 250mb (Tsh. 10000)
4. 500mb (Tsh. 12000)
5. 1gb (Tsh. 15000)
6. 2gb (Tsh.
# Next
kwa bei hii wateja wengi tumeshakimbilia ttcl, embu punguzeni hizo gharama ni kubwa sana kwa sisi wa tz wa kawaida tafadhalini mturudishie bundle 400mb kwa 2500Tsh kwa mwezi. Nategemea mtasikia kilio hiki.
Receive:
Chagua Kifurushi cha
1. 25mb (Tsh. 1500)
2. 150mb (Tsh. 6000)
3. 250mb (Tsh. 10000)
4. 500mb (Tsh. 12000)
5. 1gb (Tsh. 15000)
6. 2gb (Tsh.
# Next
kwa bei hii wateja wengi tumeshakimbilia ttcl, embu punguzeni hizo gharama ni kubwa sana kwa sisi wa tz wa kawaida tafadhalini mturudishie bundle 400mb kwa 2500Tsh kwa mwezi. Nategemea mtasikia kilio hiki.