Airtel Internet

Cowboy

Member
Sep 23, 2010
27
2
Je ni kweli kwamba unaweza kusurf siku nzima kwa modem za airtel kwa sh 500 tu??
 
huenda itakua ni kwny simu ya kiganjani. ila kwa modem nakushauri ya Zantel ni bomba kwani wamepunguza gharama eg 10000Tshs @ 500 MB na 40000 @ 2GB
 
Modem ya ARTEL na Simu yako ni sawa tu---20MB per day, call 100 for more
 
wana different bundles kutegemeana na mahitaji yako ila hauwezi ukasurf kwa sh500 siku nzima.. natumia tigo ya sh450 naunganisha na Huawei Ideos Tithering yani napata internet both kwenye laptop na kwenye Phone kawaida kama unaweza ukafanya hvyo inakua ni XXXtra cheap kuliko wengine wote
 
wana different bundles kutegemeana na mahitaji yako ila hauwezi ukasurf kwa sh500 siku nzima.. natumia tigo ya sh450 naunganisha na Huawei Ideos Tithering yani napata internet both kwenye laptop na kwenye Phone kawaida kama unaweza ukafanya hvyo inakua ni XXXtra cheap kuliko wengine wote

hapo sijakupata vizuri naomba ufafanuzi zaidi nielewe
 
airtel vocha ya shilling 500 ukibadili kuwa bundle unapewa mb20, na inaexpire baada ya masaa24. ukitumia mfululizo bila kudownload mafile unaweza ukatumia masaa mawili. hii naongelea kwa wenye computer.
 
Nilikuwa mtumiaji mkubwa wa internet wa Voda na hivi karibuni Zantel. Hayo mambo ya kutumia elfu 5 kwenye voice calls unapounganisha na highlife ya Zantel yamenifanya nishindwe kutumia huduma yao, naulizia bei za modem za airtel (na Voda, maana ya kwanza niliigawa) kwa sasa.
 
Voda essentially ni 1,000 kwa siku ukichukua bundle ya mwezi mzima unlimited.
 
huenda itakua ni kwny simu ya kiganjani. ila kwa modem nakushauri ya Zantel ni bomba kwani wamepunguza gharama eg 10000Tshs @ 500 MB na 40000 @ 2GB
Hizo 2gb unaweza kuzipata kwa 12,500 na hiyo ya 500mb unaweza kupata kwa Tzs 3000 kama unatumia Airtel...
 
Nilikuwa mtumiaji mkubwa wa internet wa Voda na hivi karibuni Zantel. Hayo mambo ya kutumia elfu 5 kwenye voice calls unapounganisha na highlife ya Zantel yamenifanya nishindwe kutumia huduma yao, naulizia bei za modem za airtel (na Voda, maana ya kwanza niliigawa) kwa sasa.
Tzs 60,000 unapata modem na bundle ya 8gb, hiyo bei ni mwaka jana sijajua kama nao wamepunguza...
 
Kwa ukwel tigo ndio wapo speed kuliko mitandao yote..na ukinunua buddle ya 450 ni unlimited ambao wanasema kuwa tigo cyo unlimited download wanipm niwape maujanja,maana nikiweka hapa watashtukia.
 
Mi naona mnanichanganya tu sipati picha live. Hebu tupeni mchanganuo wa makampuni yote tujue pa kukamata penye urahisi zaidi mimi mpaka sasa natumia Airtel ya 2500 ya 400mb
 
Kwa ukwel tigo ndio wapo speed kuliko mitandao yote..na ukinunua buddle ya 450 ni unlimited ambao wanasema kuwa tigo cyo unlimited download wanipm niwape maujanja,maana nikiweka hapa watashtukia.
Dio nimeshaku-pm unipe maujanja hujajibu tusaidie basi mbona kina Calvin Power, drphone, ccairtel wao wanmwaga vitu hadharani, nani atakushtaki km kuchakachua sasa modem yao ya HUAWEI inabeba line zote kasoro usibadili IMEI
hebu tusaidie
 
kama umejiunga na light day ya tigo, ukimaliza tu 20mb unapata sms kuwa 'you have now used 20mb ...speed will be changed'
 
Kwa kutumia modem unaweza kununu kifurushi(bandle) cha mb 20 kinachoisha baada ya mass 24 ila inategemea na juhudi zako za kutumia km unatumia sana unawezakushangaa mb 20 zimeisha kabla ya masaa 24 na km hutumii sana unaweza ikabaki hata baada ya mass 24 kwisha ila ndo hutoweza kuitumia tena mkwani deadkine inakuwa imefika
 
Back
Top Bottom