Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Toka wiki iliyopita nimeona speed ya hawa jamaa imeshuka kwa kwasi ya ajabu sana, mwanzo speed yao ilikuwa inafika hadi 2.mbps kwa 3g, ila toka wiki iliyopita imeshuka na haifiki hata 1mbps, juzi na leo internet yao imekuwa ikisumbua sana unaweza ku-connect na usipate mtandao, pia imekuwa ina jidisconnect mara kwa mara... je wakuu ili tatizo na nyie mmeliona au ni kwangu tu, mimi niko sehemu ambayo napata 3G.