Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Wadau mnaotumia airtel, hebu niambieni kuhusu spidi ya huu mtandao kwenye neti, maana mimi niliukimbia nikaenda voda ila naona voda wameanza kuwa kimeo. Leo nimeweka laini ya airtel na naona ina spidi ya kutisha. Je, huwa ni hivi siku zote?