Kuna kitu kinatendeka kuhusu hii airtel internet.
Wao wamekuja na offer wanakupa 200mb free ukiongeza credit kabla ya saa 6 usiku, sasa cha kushangaza nimekuja kugundua kwamba ukiweka credit na ikifika saa 6 usiku na ukaanza kusurf basi kama ulikuwa na mb zako zilizokuwa kwenye (malipo ya bundles hasa ya 400mb) zinakatwa na badala yake wana weka hii offer ya 200mb ambayo pia ikifika saa 12 asubuhi balance ya mb inakatwa.
Hii mimi imenitokea mara mbili baada ya kutumia aidha kwa modem yao au hata kwa kutumia mobile phone kama modem, sijui kama kuna mwenzangu yeyote aliepata tatizo hili.
Labda cha kufanya hakikisha una balance ya mb zako za bundle kiasi gani kabla hujaanza kusurf kuanzia 6 usiku na ukimaliza pia ucheki kama zimebaki vilevile?
Wao wamekuja na offer wanakupa 200mb free ukiongeza credit kabla ya saa 6 usiku, sasa cha kushangaza nimekuja kugundua kwamba ukiweka credit na ikifika saa 6 usiku na ukaanza kusurf basi kama ulikuwa na mb zako zilizokuwa kwenye (malipo ya bundles hasa ya 400mb) zinakatwa na badala yake wana weka hii offer ya 200mb ambayo pia ikifika saa 12 asubuhi balance ya mb inakatwa.
Hii mimi imenitokea mara mbili baada ya kutumia aidha kwa modem yao au hata kwa kutumia mobile phone kama modem, sijui kama kuna mwenzangu yeyote aliepata tatizo hili.
Labda cha kufanya hakikisha una balance ya mb zako za bundle kiasi gani kabla hujaanza kusurf kuanzia 6 usiku na ukimaliza pia ucheki kama zimebaki vilevile?