Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Natoa malalamiko yangu kwa kampuni ya Airtel kwa kupandisha gharama za upigaji simu airtel kwenda airtel bila kutujulisha sisi wateja.<br>Nasema hivyo kwakuwa sasa wanalipisha shilingi 6 kwa sekunde baadala ya shilingi 1 kwa sekunde kama ilivyokuwa awali.<br> Kama imetokea kwa bahati mbaya watoe tamko au warudishe hela yetu kwa muda ambao wamefanya hivyo.<br><br>Nawakilisha.