Airtel edge to hspda

Hercule Poirot

JF-Expert Member
Mar 14, 2011
1,717
1,472
Wadau kuna yeyote mwenye maujanja anisaidie plz,..........Ni kuhusu ile ofa ya saa 6 ucku ya mb 200 za bure za airtel, ikifika muda huo hawa jamaa huwa wanashusha connection speed toka HSPDA/WCDMA hadi EDGE ambayo hadi lisaa limoja unakuta nimedownload 15mb tu....hii cjui ni kwangu tu au wengine pia inawakuta...kama ni hivo kuna njia yeyote ya kuzuia modem ikabaki ktkt HSPDA?
 
Wadau kuna yeyote mwenye maujanja anisaidie plz,..........Ni kuhusu ile ofa ya saa 6 ucku ya mb 200 za bure za airtel, ikifika muda huo hawa jamaa huwa wanashusha connection speed toka HSPDA/WCDMA hadi EDGE ambayo hadi lisaa limoja unakuta nimedownload 15mb tu....hii cjui ni kwangu tu au wengine pia inawakuta...kama ni hivo kuna njia yeyote ya kuzuia modem ikabaki ktkt HSPDA?

Katika menu hapo juu bonyeza option/tools then click network kutakua na option 3 gsm, wcdma au both we chagua wcdma ur done
 
Katika menu hapo juu bonyeza option/tools then click network kutakua na option 3 gsm, wcdma au both we chagua wcdma ur done
Kaka ujanja huo naufahamu..ishu ninayosema ni kuwa ikifika muda wa ofa yao ya mb 200 AIRTEL wenyewe wana shusha speed yao toka HSDPA/WCDMA hadi EDGE BAND sasa sijui kama wadau wengine ni hivyo kwao au maeneo nayokaa mm tu hioEDGE nilikaa saa 1 nikashusha mb15 tu nikasusa nikaenda lala ......sasa sijui kuna maujanja ya kuirudisha toka EDGE mpaka HSDPA maana nikitumia njia ya tools/option then network kubadili mtandao wao unakuwa haupatikani kabisa
 
Kaka ujanja huo naufahamu..ishu ninayosema ni kuwa ikifika muda wa ofa yao ya mb 200 AIRTEL wenyewe wana shusha speed yao toka HSDPA/WCDMA hadi EDGE BAND sasa sijui kama wadau wengine ni hivyo kwao au maeneo nayokaa mm tu hioEDGE nilikaa saa 1 nikashusha mb15 tu nikasusa nikaenda lala ......sasa sijui kuna maujanja ya kuirudisha toka EDGE mpaka HSDPA maana nikitumia njia ya tools/option then network kubadili mtandao wao unakuwa haupatikani kabisa

Kaka huwez eka hdspa only then ikachange kuja edge lazma umeeka hybrid yaabi zote so modem inachagua ambayo net yake ni strong
 
Mkuu fanya kama alivyoelekeza Chief Mkwawa. Mbona mimi haishuki. Ukiona hivyo ujue umeweka kwnye WCDMA Prefered, ukifanya hivyo huwa inachange kulingana na strength ya mtandao either EDGE or WCDMA na huwa inachange wakati wowote, si lazima iwe usiku au muda wa offer.
 
Wakuu Mrimi na Chief Mkwawa asanteni kwa ushauri....mimi huwa naweka WCDMA ONLY ikifika mida ya ofa huwa net yao AIRTEL inakata kabisa kunakua hakuna network signal kabisa hili tatizo ni la hivi karibuni, sasa nikiweka kwenye WCDMA PREFFERED ndio inakuja EDGE BAND ambayo speed yake kama konokono......labda kwa maeneo yetu kuna watumiaji wengi ndo maana strength inakuwa ndogo.
 
aaah brother utakua unakaa mbali xana, idadi ya watu sio kigezo.mie nipo college hapa, mnara m1 tunatumia zaidi ya watu 6000 tena more than 36% wamejiunga na Airtel boom club, >46% wanatumia net kwa search ya materials chatting etc. but HSDPA kama kawa... am sure upo. mbali xaana kak
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom