MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Nyie Airtel mnaofanya ni uhuni wa kitoto. Ninyi ni wezi wakubwa kabisa. Mmeweka huduma kwa wateja kwa malipo, sawa. Hii tabia ya kukata pesa ya mtu halafu katikati ya maongezi na wakati bado hujamaliza shida yako mnawaambia wateja subiri, then mnakata simu ili mteja apige tena huduma kwa wateja ni UHUNI NA WIZI. WEZI WAKUBWA SANA NINYI