Airtel 3.75 ~ gprs,edge?

Lussadam

JF-Expert Member
Oct 13, 2007
1,294
835
jamani tangu hawa jamaa watuambie kuwa wanamitambo ya 3.75G mbona muda wote inakuwa edge au gprs? kuna haja gani ya kuendelea kuwatumia wakati inachukua zaidi ya dakika 10 kufungua page moja? nikimaliza hizi 400MB naiweka kabatini sim ya airtel mpaka itapokaa sawa
 
Wanaboa, bora voda hawajisifu lakini wanapiga kazi vizuri mpaka ninawakubali.
 
duuuu mi nilifikiri kwangu tu kumbe ni watu wengi, mi naona afadhali ya mchana yaani usiku ndio kono kono kabisaa, sijui hio 3.75G ni ya nini.Shida ya voda gharama sasa duuuuh.
 
Kuanzisha project ya 3.75G si mchezo,mie nilijua tangu mwanzo kwamba wanawaibia wadanganyika,3.75G ni technology na sio VAS ambao kujiunga unabonyeza code flan,tcra mpo wapi? Wamesoma halama za nyakati wangesema 4G mngestuka! Kwanza hawana lisence ya kurusha 3.75G.
 
Inategemea na eneo ulilopo na aina ya simu. Kama simu yao haisupport 3G then hapo lazima utasurf kwa kutumia GPRS edge. Pia inategemea na eneo ulilopo. Mara nyingi kwenye remote areas huwa hakuna 3G.
 
jamani mbona airtel mnawaonea bure....spidi yao kwa maeneo mengine inafika hata 3.4mbps
 
hiyo minara ya 3.5 au 3.7 waliifunga lini?

kwa nini speed itofautiane kulinga na eneo, mfano mtu aliye karibu na mtambo wa Dar na yule wa Kigoma. Kazi ya minara ni nini? Nilidhani minara yote inatoa speed sawa na tofauti iwe ni umbali kutoka mnara ulipo na si location ya mnara
 
Nina wiki ya pili sasa nimeifungia kabatini, kifupi haifai kwa sasa,warekebishe.
 
Nilitaka kuanzisha thredi kama hii kuwalalamikia manyangau wakubwa AIRTEL kumbe na wengine mumo niljua maeneo ya kwetu huku mwisho wa dunia...senz kabisa et 3.75G wizi mtupu
 
Inategemea na eneo ulilopo na aina ya simu. Kama simu yao haisupport 3G then hapo lazima utasurf kwa kutumia GPRS edge. Pia inategemea na eneo ulilopo. Mara nyingi kwenye remote areas huwa hakuna 3G.

Hapa nipo city center na ninatumia laptop na si simu. So suala siyo sehemu niliyopo wala device ninayotumia. I used to get WCDMA au HSDPA kabla ya wimbo wa 3.75G haujaanza
 
bora hat nimepitia hapa. juzi nimegawa modem yangu ya voda coz ilikua inazngua installation, sasa j4 nlikua nataka nikanunue ya eateli, kumbe nayo uzush m2pu?
 
Back
Top Bottom