Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,294
- 835
jamani tangu hawa jamaa watuambie kuwa wanamitambo ya 3.75G mbona muda wote inakuwa edge au gprs? kuna haja gani ya kuendelea kuwatumia wakati inachukua zaidi ya dakika 10 kufungua page moja? nikimaliza hizi 400MB naiweka kabatini sim ya airtel mpaka itapokaa sawa