KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Hawa scaner operators hususan wa JK Airport ni matapeli sana, sasa kama umeshuku Nivea lotion au azamu juice imetegeshewa bomu, inakuaje unaanza kuitumia palepale bila haibu? Ni bora mngesubiri niondoke. Afu huu uwanja, kwanini unaitwa International? Ukiulinganisha na wa nchi za wenzetu, ulipaswa kuitwa Uwanja wa Kata.