Airport Dar inanuka kinyesi

suala la usafi wa vyoo si la airport tu hata majumbani mwetu wengi wetu vyooni hakutamaniki? pia vyoo vingi vya public ukibanwa haja utatamani isikutoke ni hatari lakini salama. Anyway ndo vile no way.
 
Uchafu kwa tanzania ni kitu cha kawaida sana, tena miji mikubwa kama dar vile ndio hapatamaniki, wengiwao hawajui kutumia vyoo vya kisasa..ukimuliza umeflash?? Anakujibu ndio nini? Na ukienda miji midogo ndio usiseme.. mtu anajisaidia pembeni kisha anasepa,duh kweli shule muhim sana,inatoa ujinga..

Ukija Airpot nako pameoza, baadhi ya wafanyakazi sina hamunao, kazi yao pale kuwachukulia wageni mizigo yao na kugawana....wanakiburi sana hawa watu, ipo siku watanyooka tu..
 
Sasa yapata mwezi mzima nadhani kuna maji ya choo yameziba, infact inahuzunisha sana kuwa kile ndio mmoja kati ya viooo vyetu kama Taifa lakini sasa hizi ni zaidi ya mwezi hali ni mbaya sana

Hapo hatujazungumzia wizi unaofanywa na security staff pale kwenye scanners au wale the so called Immigration au Usalama wanaokaa pale mlangoni kuwabugudhi wageni wanaoingia bila sababu za msingi

yup hiyo ndio Tanzania ya 2010
Mlango mkuu wa Taifa kutoka na kuingia duniani, Chooni maji yanawekwa kwa ndoo! Halafu mabilioni yanapelekwa Ushagoni Chato Kujenga Airpot ya Masokwe maana hakuna Abiria kivile!
 
huo ndo mlango wa taifa so kama unanuka inamaana na taifa linanuka sirikali kuweni siriazi basi
 
Hatuna airport. Hata Moi inter. Mombasa ni bombs kuliko hii.
Halafu wale migration uchwara walisomea chuo gani
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom