Where can in find colleges, institutions, centers or classes for AIRHOSTESS in DAR ES SALAAM??
natafuta chuo kinachofundisha masomo ya airhostess hapa Dar..... hujaelewa nini MNDEE????
huitaji course kuwa air hostess.ninavyoelewa,hakuna dar.na hata ingekuwepo ungepoteza pesa zako bure.normally wana-ku-train wenyewe...kutokana na ndege gani wanatumia.na karibu kila shirika la ndege lina training centre yake.i hope nimejibu swali lako.
mbona unaji contradict...mara hakuna dar..mara shirika linakutrain wenyewe wapi?yombo dovya???sema sijui msimkatishe mtu moyo......mkuu ogopa sana
vipo
kule airport vipo viwili nenda terminal 1 uliza kuna royal aviation
kingine kiko tazara majengo ya tazara uliza.....tanzania aviation..for more help nenda kwenye pm
pm ndo chuo cha wapi tena?????
mbona unaji contradict...mara hakuna dar..mara shirika linakutrain wenyewe wapi?yombo dovya???sema sijui msimkatishe mtu moyo......mkuu ogopa sana
vipo
kule airport vipo viwili nenda terminal 1 uliza kuna royal aviation
kingine kiko tazara majengo ya tazara uliza.....tanzania aviation..for more help nenda kwenye pm
kumradhi kama vipo.obviously ufahamu wangu ni mdogo kwa uwepo wa vyuo hivyo dar.asante kwa kumfahamisha.kauliza swali jibu langu halikumpa ilipo hivyo vyuo lakini linaweza kumsaidia asipoteze pesa zake.nna imani anauliza akiwa na nia ya kusoma na kuja ifanya hiyo kazi.kama hivyo ndivyo.kila shirika la ndege lina training centre yake kwa ajili ya mafunzo hayo na pia inategemea ni ndege gani wanatumia.hivyo labda kama hilo shirika limemwambia aende kwenye hivyo vyuo...vinginevyo kama anataka soma kwa nia ya kutafutia kazi....havitakuwa na uzito wowoteukupatia kazi.ni info tu.good luck!