Air Tanzania new logo: I think we need to write to CEO

Hio duara haina maana "A" inatiliwa mkazo kama "K" kwenye logo ya Kenya Airways.Hio duara ina maana yake katika aviation industry,either ina maanisha kuwa ni international carrier or something else of the same sort.Ila mimi similarity iko zaidi kwenye mkia wa hio 'a' kama vile ulivyo wa 'k'

Duara halina maana ya international carrier, hilo limeigwa tu kutoka kwa wenzetu.

Angalia baadhi ya Internatonal Carriers hapo chini.

airlines_logos.gif


Kutumia fedha kuanza kutengeneza logo za copycats hakuna maana kabisa bora angeinvest kubadilisha attitudes za wafanyakazi wa shirika hili kwa kufanya trainings.
 
Hio duara haina maana "A" inatiliwa mkazo kama "K" kwenye logo ya Kenya Airways.Hio duara ina maana yake katika aviation industry,either ina maanisha kuwa ni international carrier or something else of the same sort.Ila mimi similarity iko zaidi kwenye mkia wa hio 'a' kama vile ulivyo wa 'k'

Hivi kweli international carrier kama Emirate, KLM, BA, Ethiopia, Japan Air line, SA, etc nazo zina mduara?
 
Duara halina maana ya international carrier, hilo limeigwa tu kutoka kwa wenzetu.


Kutumia fedha kuanza kutengeneza logo za copycats hakuna maana kabisa bora angeinvest kubadilisha attitudes za wafanyakazi wa shirika hili kwa kufanya trainings.


Nakumbuka hii niliisikia kutoka kwa CEO mwenyewe kwamba inaportray (global) yaani alama ya tufe kwa kiswali cha darasa la tatu, akisema vision yao ni kuwa international carrier!!!

Mkishakubali kwamba logo in alama ya T in it, basi lakuna la kuuliza, unajua wakati mwingine logo inaficha mambo sio lazima iwe wazi, kwa mfano ni Mtanzania tu ndiye haraka ata-catch kwamba kuna symbol ya mlima kilimanjaro kwa sababu waujua na kwa maneno ya logo otherwise usingiweza ku-catch hii...

Kuna ukweli wa hali ya juu kwamba base ya kufikiria ilikuwa KQ thereafter ndio kukawa na namna ya kupolisho hicho mlichotaka...

In anycase we can not reverse,,, sasa subirini tu Balance Sheet na Cash Flow Statement kama zitakuwa zinatolea... that itself is closed.
 
Hivi kweli international carrier kama Emirate, KLM, BA, Ethiopia, Japan Air line, SA, etc nazo zina mduara?

It is a fact.Hii logo mpya ilivyotoka nilimuuliza mtu mmoja wa ATC kwa nini wameiga KQ mpaka duara,ndio akaniambia kuwa it has its meaning.Therefore,kama they have just made it up kwa kuwa labda wanapenda 'mduara'..thats something else to ponder
 
Duara halina maana ya international carrier, hilo limeigwa tu kutoka kwa wenzetu.

Angalia baadhi ya Internatonal Carriers hapo chini.

airlines_logos.gif


Kutumia fedha kuanza kutengeneza logo za copycats hakuna maana kabisa bora angeinvest kubadilisha attitudes za wafanyakazi wa shirika hili kwa kufanya trainings.

Kwa haraka haraka hapo nimehesabu miduara kama mitatu hivi.Maybe it does have its meaning
 
Nakumbuka hii niliisikia kutoka kwa CEO mwenyewe kwamba inaportray (global) yaani alama ya tufe kwa kiswali cha darasa la tatu!!!

Mkishakubali kwamba alama yenyewe ina T in it, basi lakuna la kuuliza, unajua wakati mwingine logo inaficha mambo sio lazima iwe wazi, kwa mfano ni Mtanzania tu ndiye haraka ata-catch kwamba kuna symbol ya mlima kilimanjaro kwa sababu waujua na kwa maneno ya logo otherwise usingiweza ku-catch hii...

Kuna ukweli wa hali ya juu kwamba base ya kufikiria ilikuwa KQ thereafter ndio kukawa na namna ya kupolisho hicho mlichotaka...

In anycase we can not reverse,,, sasa subirini tu Balance Sheet na Cash Flow Statement kama zitakuwa zinatolea... that itself is closed.

SMALL t inaonekana kiaina na hiyo theluji, ukweli unabakia palepale imefanana na ile ya Kenya Airways.

Inawezekana ukasema iko closed lakini bado kama watanzania tuna uhuru wa kutoa mawazo yetu. After all its a national carrier and not personal carrier.

Labda tungeomba msaada wa kuweka petition kuomba identity yetu ya zamani irudi? Najua inaonekana sio muhimu lakini hili suala la kuwa copycats linaboa.
 
Labda tungeomba msaada wa kuweka petition kuomba identity yetu ya zamani irudi? Najua inaonekana sio muhimu lakini hili suala la kuwa copycats linaboa.

Ku-change Logo, ni namna moja nzuri especially kama kampuni inabadilika in terms of kuweka watu waamini kwamba tunamalengo mapya, matumaini mapya...etc ....etc

Sasa kama ina-change kwa kuiigiza wengine hilo ni lingine...

Lakini kuweka petition nadhani,,, vumilia tu,,, tuwaache jamaa wapate muda kudeal na issue nzito za kulitoa kampuni kaburini...kifedha...

Nadhani tuwape muda kwenye hili zaidi kuliko la logo waheshimiwa.
 
kusema kweli huku ni kuwapuuza watanzania kuwa hawawezi kufanya vitu vyao wenyewe vinavyotokana na ubunifu wao wenyewe. Hili ni tusi kwa kweli na lazima tulipinge kwa nguvu zote.
tunapigiwa kelele kuwa sisi sio wabunifu lakini ukweli ni kwamba kuna watu achache ambao wanatufanya sisi tuonekane kuwa sio wabunifu bali ni watu wa kucopy tu jambo ambalo si kweli. wabunifu tunao wengi lakini hawathaminiwi
 
Mattaka alifukuzwa npf kwa tuhuma za ufisadi na ben ambaye alikuwa rafiki yake mkubwa.sasa jk anaturudishia matatizo mengine.Kweli bongo mungu atuepushe na hili balaa la uozo wa viongozi wetu.
 
Mattaka alifukuzwa npf kwa tuhuma za ufisadi na ben ambaye alikuwa rafiki yake mkubwa.sasa jk anaturudishia matatizo mengine.Kweli bongo mungu atuepushe na hili balaa la uozo wa viongozi wetu.

there is strong probability walisome wote kibaha, na nafikiri udsm
 
Mimi naona nembo ni bomba. Hivi kuiga kitu na ukaimprovr ni tatizo? Mangapi tunaiga?? au kwa kuwa aliyechora ni mkenya. Ukweli ukiangalia vizuri kuna A, kuna T na kilele cha kilimanjaro. ile ya zamani ilikuwa na T, ya kaburu ilikuwa na bendera. Anyway, ni kawaida ya watu kutokupenda mabadiliko!!!
 
Mimi naona nembo ni bomba. Hivi kuiga kitu na ukaimprovr ni tatizo? Mangapi tunaiga?? au kwa kuwa aliyechora ni mkenya. Ukweli ukiangalia vizuri kuna A, kuna T na kilele cha kilimanjaro. ile ya zamani ilikuwa na T, ya kaburu ilikuwa na bendera. Anyway, ni kawaida ya watu kutokupenda mabadiliko!!!

hivi nchi inaandikwa kwa small letter au capital letter?
Kuiga mpaka logo tukidhani ndio tutakuwa sawa na Kenya Airways ni ufinyu wa mawazo.
Mabadiliko tunapenda, na mazuri aliyofanya yamesifiwa lakini ukweli unabakia pale pale, hili la logo amechemsha.
 
Huo Sio Uzalendo Kabisa

Kwa maoni yangu uzalendo ni kufanya kampuni lizalishe period!!! Haya mengine not priority kuna makampuni yanazalisha haya logo nzuri kama ya kwenu...


1. Shareholders value!!!

2. Remembesha Logo kadiri Mnavyotaka...
 
Nembo ni hafifu.

Haiashirii kuzaliwa upya kwa kampuni inayotaka kukua na kukwea kileleni kwa kutoa huduma safi kusambaratisha ushindani uliopo sasa hivi ....

Nilishasema tena kwenye hii forum, kwamba njia sahihi ya kutuhakikishia maendeleo ya ATC ni kutumia uzoefu wa uendeshaji uliopatikana kwa Precision. Imefanikiwa sana pale ATC iliposhindwa, from very humble beginnings! Bado ni kampuni ya Ki-Tanzania, lakini kwa sababu Watanzania siku zote biashara binafsi hawazithamini ma kuziona kama zinaweza kutoa mchango mzuri wa maendeleo, itakuwa vigumu. Tatizo la ATC siyo ndege mpya. Ndege zipo tu!

Ni tatizo la malezi/makuzi!

Nina wasiwasi kama ATC itafufuka. Kubwa ni kwamba viongozi wetu wana upungufu mkubwa wa kuona "The larger Picture" katika masuala ya kibiashara/maendeleo ya nchi (ya binafsi yapo, lakini nayo ni narrow minded) na hivyo tunashindwa ku-strategize.

Tofauti na majirani zetu ambao sasa tunawafuata watutengezee nembo. Ni jana tu nimeona tangazo la tenda ya kupanua uwanja wa Ndege wa Kisumu! Uwanja wenu wa Mwanza? Kimya. Tuliamua kujenga wa Mbeya instead, a strategic mistake, if u will excuse me!

Magoli tunayofungwa kila uchao ni mengi...

Niungane na Katibu Tarafa "Mwenyezi Mungu atunusuru na uozo" ...
 
ukiangalia logo ya kenya....ni kenya airways ...the pride of africa
inaashiria kuwa ni kitu kidogo, ila kinawakilisha sehemu kubwa ( pride kwa afrika nzima)

logo ya tanzania, achilia mbali kuwa kuna A ambayo haina maana yoyote kwa Air Tanzania, lakini kwa khati ndogo tumesema ni wings of kilimanjaro. which is more important ? kilimanjaro au Tanzania? it shows kuwa dira ya air tanzania ni sehemu ndogo tu, ikishakuvuka kilimanjaro basi.

maybe the way should have been better, air kilimanjaro, the wings of tanzania!
 
LOGO MPYA YA ATCL!



Wandugu, Wajameni,
Nimeongelea mengi katika mazuri yanayofanywa na serikali yetu likiwa pamoja na lile la serikali kuisaidia Air Tanzania. Nilifurahishwa pale CEO huyu mpya, David Mattaka, alipotangaza mipango ya ndege mpya pamoja na uamuzi wake wa kutumia Mercator service kwa ajili ya Revenue accounting.

Nimesikitishwa na yeye kuamua kuitupilia mbali logo yetu ya zamani ya Air Tanzania: Na kutuletea logo mpya iliyokuwa designed na wakenya ambayo inafanana na ile ya Kenya Airways.

Hivi tumeishiwa creativity kabisa na tumeamua kuwa copycats? Naomba mchango wenu kabla ya kumuandikia CEO rasmi kumuomba alifikirie hili.

SASA SISI WANANCHI WENYE UCHUNGU NA NCHI HII TUNAOMBA ATAKAYEPOKEA EMAIL HII AIFIKISHE KWA TOP MANAGEMENT.......
Asante Watanzania Masembo K,
 
LOGO MPYA YA ATCL!



Wandugu, Wajameni,
Nimeongelea mengi katika mazuri yanayofanywa na serikali yetu likiwa pamoja na lile la serikali kuisaidia Air Tanzania. Nilifurahishwa pale CEO huyu mpya, David Mattaka, alipotangaza mipango ya ndege mpya pamoja na uamuzi wake wa kutumia Mercator service kwa ajili ya Revenue accounting.

Nimesikitishwa na yeye kuamua kuitupilia mbali logo yetu ya zamani ya Air Tanzania: Na kutuletea logo mpya iliyokuwa designed na wakenya ambayo inafanana na ile ya Kenya Airways.

Hivi tumeishiwa creativity kabisa na tumeamua kuwa copycats? Naomba mchango wenu kabla ya kumuandikia CEO rasmi kumuomba alifikirie hili.

SASA SISI WANANCHI WENYE UCHUNGU NA NCHI HII TUNAOMBA ATAKAYEPOKEA EMAIL HII AIFIKISHE KWA TOP MANAGEMENT.......
Asante Watanzania Masembo K,

Ndo maana tunaambiwqa watanzania ni wavivu kufikiri na kukopi. Huu mjadala nimeukuta umekopiwa hapa na kupelekwa kwa http://abdallahmrisho.blogspot.com/ na huyo anayejiita MASEMBO. Cha muhimu angefanya acknowledgement kuwa origin ya hili wazo sio yeye ila kali-kopi JF.
 
Ndo maana tunaambiwqa watanzania ni wavivu kufikiri na kukopi. Huu mjadala nimeukuta umekopiwa hapa na kupelekwa kwa http://abdallahmrisho.blogspot.com/ na huyo anayejiita MASEMBO. Cha muhimu angefanya acknowledgement kuwa origin ya hili wazo sio yeye ila kali-kopi JF.

hahahahahahahah kama nisiku nimecheka ni leo maana hapa ni kukopi na pest tuu kuanzia family level hadi national level. Yaani sina mbavu mkuu hiii ni kwali kwa kweli au ndio tricle down effect yenyewe?. Ila kweli blog zetu zinatabia ya kukopi na kupest kuanzia maandishi hadi picha bila ya kuacknowledge.
 
Back
Top Bottom