air port yetu ya kimataifa ni uwanjwa wa ndege au ni kichekesho??!!

Rebel volcano

JF-Expert Member
Jun 1, 2012
403
86
kwa mtu anaesafiri sana kwa kutumia uwanja wa kimataifa wa dar es salam,hakika atakutwa na matatizo mengi kabla ya kupanda ndege,na hata wakati wa kurudi.
hivi asali lita 3 zawadi mpaka ilipiwe kodi??!!
mara moja ilinibidi nimuachie jamaa dawa za mswaki na mafuta ya kupaka kwa jinsi alivyoning'ang'ania nimwachie!
wakati wa kurudi hakuna dalili yoyote ya usafi!!
vyoo mazingira yake ovyo!!!
hata foleni zenyewe wakati wa kugongwa pass zinakwenda taratibu sana na joto la ajabu hakuna mfumo wa viyoyozi!!
wakati wa kuchukua begi zako,nashangaa hata matunda yasiyozidi kilo 5 umenunua labda 25000 kodi yake utaambiwa 80000/=
au redio yako moja ya matumizi wala si ya biashara ushuru!!
blender moja tu ya matumizi nayo ushuru!!
anashuhudia mungu wangapi tumeacha vitu vyetu hapo,na sijui vipo hapo au wamevibeba makwao!!
tanzania upande wa air port kuna maudhi sana ya ajabu!!!
sijawahi kuyaona nchi zoote nilizotembelea!!
nchi la kimaajabu hili
 
yaani hapo kuna urasimu sijawahi ona. Halafu nikamsikia mtu mmoja akisema eti uwanja wetu una hadhi ya ule wa Cape town nikamshangaa sana. Yaani kama unaondoka tabu kurudi ndio usiseme
 
Labda ni kukosa uelewa, lakini jomba unpoongelea suala la Kiwanja unaongelea dhana pana mno. KIwanja kina watu Airline operators, Meteorological agency, Civil Aviation, Business community, Airport Authority nk. Sasa unapolaumu kiwanja kwa ujumla hueleweki na unaonyesha upungufu wa uelewa. Kwa nilivyokuelewa mm, unaongelea masuala ya TRA na ushuru, ambapo si ishu ya Kiwanja as whole, bali idara moja tu.
Tujifunze kuwa specific kwenye hoja.
 
Labda ni kukosa uelewa, lakini jomba unpoongelea suala la Kiwanja unaongelea dhana pana mno. KIwanja kina watu Airline operators, Meteorological agency, Civil Aviation, Business community, Airport Authority nk. Sasa unapolaumu kiwanja kwa ujumla hueleweki na unaonyesha upungufu wa uelewa. Kwa nilivyokuelewa mm, unaongelea masuala ya TRA na ushuru, ambapo si ishu ya Kiwanja as whole, bali idara moja tu.
Tujifunze kuwa specific kwenye hoja.
umesomeka hivi swala la usafi,na kuboresha mazingira ya air port,wahusika ni t.r.a ama??!!
usisome kwa pupa kama umetoka kwenye ugomvi na dem wako!!
zingatia kidogo wengi huwa mnafeli hivyo hivyo kwa kuelewa swali na kutoelewa ni jinsi gani ujibu!
 
Kilichopo pale ni wizi, wivu na ujanjaujanja wa siku zote wa nchi yetu...vitu vingine mpaka vinatia aibu! Ni kweli kuna karantini ya kuzuia bidhaa za matunda na mbegu toka nje ya nchi bila vibali lakini watu wetu watueleze kuwa huwa wanapeleka wapi yale matunda wanayo confiscate pale airport? wanapeleka wapi vile vipodozi wanavyonyang'anya watu kwa nguvu pale airport? taifa limeoza kila mahali...ni dalili za anguko la serikali yetu
 
hivi wadau kwa zawad ndogondogo kama za electronics ziwe aina moja kama camera,simu au ipod Wawaletea watu tofauti kitu aina moja idadi mwisho kiasi gani unaweza pita nazo bila kulipia ushuru
 
hivi wadau kwa zawad ndogondogo kama za electronics ziwe aina moja kama camera,simu au ipod Wawaletea watu tofauti kitu aina moja idadi mwisho kiasi gani unaweza pita nazo bila kulipia ushuru
hilo swali hata ukimuuliza mfanyakazi wa t.r.a aliopo air port kwa kukusanya mapato hakupi jawabu ukamuelewa!
kama huamini jaribu,sasa sijui hata hao wakusanya kodi wenyewe hawaelewi au??!!
 
Labda ni kukosa uelewa, lakini jomba unpoongelea suala la Kiwanja unaongelea dhana pana mno. KIwanja kina watu Airline operators, Meteorological agency, Civil Aviation, Business community, Airport Authority nk. Sasa unapolaumu kiwanja kwa ujumla hueleweki na unaonyesha upungufu wa uelewa. Kwa nilivyokuelewa mm, unaongelea masuala ya TRA na ushuru, ambapo si ishu ya Kiwanja as whole, bali idara moja tu.
Tujifunze kuwa specific kwenye hoja.

wewe uko idara gani mkuu?,
 
bongo ni new york teeeehteeeh wapi ritz/suzie...kakiwanja ka ndege utafikiri car boot sale....sunday market..
 
Kuna watu hata wasome vp hawa taste ! Ndo maana wanasubutu kulala na mifugo, tena nguruwe na ng'ombe majumbani mwao. Mtu kama huyo hawezi kuona matangazo ya biashara pale ni takataka, hawezi kuona choo ni issue !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom