Mwanamke mmoja bwana hatoshi......
Hongereni wenye ndoa zenu. . .
Hata za ndumba bado ni ndoa!!
Mimi mzima kabisa babu DC. . .asante kwakunikaribisha. Niliwakosa sana.Great to see you Lizzy...mzima lakini?? .....:welcome:
:focus:
Umesahau kwamba safari ni safari.....???
Babu DC!!
Target yangu kubwa sana kuongeza mke, tatizo sitaki wife ajue au watoto zangu, mana wakijua nyumba itawaka moto.fazaa unataka kuongeza mke
Hatoshi nini au wapi?
Target yangu kubwa sana kuongeza mke, tatizo sitaki wife ajue au watoto zangu, mana wakijua nyumba itawaka moto.
Nataka kufanya kama rafiki yangu ameoa mke wa pili, na wife wake wa kwanza hajui :cool2:
Wake zetu hawakubali, kuna siku nilimfanyia tu joke nataka kuoa nyumba iliwaka moto, sasa ni bora uowe kisiri siri :cool2:Duuuuhhhhh,
Hii sasa kali...Kama umeamua kuoa mke wa pili na dini + vitu vingine vinaruhusu, kwa nini unataka kuficha?
Babu DC!!
Duu teacher....
Nilijua hapa patakuwa hapatoshi...Kama hili swali angeuliza mwanamume mwenzangu ningemshangaa!!
Katika ndoa, kila mtu ana mahitaji, matamanio, mategemeo na maslahi yake ya kila aina. Haya yanagusa maeneo mengi sana, ikiwemo mambo ya ngono na mengine.
Ukweli wangu mie na wanaume wengine (may be wengi sana) ni kwamba mwanamke mmoja hatoshi!!
Babu DC!!
Mkae mkijua kuwa kuna na wanawake wanafikiri hivyo hivyo pia. Kuwa mwanamme mmoja hatoshi. Maana hafikii viwango vyote mtu alojiwekea
Ndoa za kubakana....
Hizi zilikuwa zinafanyika sana kule kwetu Moshi hasa kipindi cha Christmass misa ya usiku.
Unavizia kabinti kametoka church unakatupia mgongoni. Kakiingia room unakabaka, kesho hakaondoki ndo imetoka hivyo.
Actually huwa wapo...shida tu ni kwamba tunawafanya sio official!...lakini na ijulikane kuwa wapo!Hayo ni matamanio ya wanaume wengi tu, ila mazingira pamoja na mambo y Beijing yanatubania!!
Hata mie ungenirusha miaka kama 20, haki ya nani ningeongeza mke hata kama ingenilazimu kuokoka!!
Mwanamke mmoja bwana hatoshi.......(hapa najua kuna watu watatamani wanimeze....ila mie naongea kama kidume cha 1947 na naomba mnisamehe in advance)!!
Babu DC!!
Tatizo letu ni kuyasema yale tunayotamani au kutojua yale wanayotamani wake zetu?
Mie nadhani wana haki zote kuwa na hisia na wishes zao hata kama wako kwenye ndoa...
Babu DC!!
Tunadumisha mila siyo? Hahahahaha!!!:violin:Actually huwa wapo...shida tu ni kwamba tunawafanya sio official!...lakini na ijulikane kuwa wapo!
Hahahaha........ mimi mwenyewe nimekamata bibi yenu kwa staili hiyo lolhahaha ODM umenikumbusha mbali daaaah sasa hivi imepungua kama sio kuisha vijana wamekimbia mjini kule wamebaki wazee
Hahahaha........ mimi mwenyewe nimekamata bibi yenu kwa staili hiyo lol
Nafikiri tatizo kubwa zaidi ni kuwa hatuambizani hizo fantasy au viwango vya kila mmoja wetu.
Unaweza kuwa unatamani ufanye ngono kwa kumfunga mtu pingu japo mara moja na bibie nae anawaza hilo hilo la kufungwa pingu lakini nyote hamjui matamanio yenu
KIla mmoja anabaki na dukuduku au tena ndo panasakwa nyumba ndogo na one night stands
Kuweni wa wazi ....ohoooo
Ndoa za kubakana....
Hizi zilikuwa zinafanyika sana kule kwetu Moshi hasa kipindi cha Christmass misa ya usiku.
Unavizia kabinti kametoka church unakatupia mgongoni. Kakiingia room unakabaka, kesho hakaondoki ndo imetoka hivyo.